Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,190
Ni kwa Prime Minister lolz!!
Haaaa kumbe ndo maana sina hadhi ya kufika huko?
BTW: umeshapona kabisa ever?
Ni kwa Prime Minister lolz!!
Palestina.
Huko kuna mambo ya siri tu na waonao sirini ni wewe na unae "PieMiana" nae......kuna mdada humu huwa nna PieMiana nae karibu kila cku
nani huyo mkuu na mi nijaribu kum piemu... au akishawahiwa wengine tunatafuta waliobaki
Huko PM ni wapi, mbona sijawahi fika!!!
asilimia 80% ya mazungumzo ya pm ni mitongozano na apointimenti za migegedano
aisifiaye mvua...
haa haaa mbona kuna siku tulipishana kwenye korido ya pm. au nmekufananisha?
jaman u guys u made my day..!
so huko pm unabisha hod au get liko wazi...! hahaaaaaa
Haaaa kumbe ndo maana sina hadhi ya kufika huko?
BTW: umeshapona kabisa ever?
Natumia kimpumu mie,wapi wa kwetu makete
Haaa atakuwa pacha wangu yule..
Mmh shem wangu umefika mbali sana