Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,121
Hello!
Bidhaa ambazo naona hazijapanda bei kwa Dar es salaam hii ni nyama, chumvi, viberiti, mbao basi.
Maji yamepanda bei
Nguo zimepanda bei
Vifaa vya shule vimepanda bei
Vyakula vimepanda bei
Nondo zimepanda bei
Misumari imepanda bei
Cement imepanda bei
Mabati yamepanda bei
Gypsum board imepanda bei
Rangi imepanda bei
Ngano imepanda bei
Soda na juisi zimepanda bei
Mafuta ya kula yamepanda bei
Diesel imepanda bei
Petrol imepanda bei
Mafuta ya taa yamepanda bei
Vifaa vya ofisini vimepanda bei
Mboga mboga hazijapanda bei.
Bidhaa ambazo naona hazijapanda bei kwa Dar es salaam hii ni nyama, chumvi, viberiti, mbao basi.
Maji yamepanda bei
Nguo zimepanda bei
Vifaa vya shule vimepanda bei
Vyakula vimepanda bei
Nondo zimepanda bei
Misumari imepanda bei
Cement imepanda bei
Mabati yamepanda bei
Gypsum board imepanda bei
Rangi imepanda bei
Ngano imepanda bei
Soda na juisi zimepanda bei
Mafuta ya kula yamepanda bei
Diesel imepanda bei
Petrol imepanda bei
Mafuta ya taa yamepanda bei
Vifaa vya ofisini vimepanda bei
Mboga mboga hazijapanda bei.