medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,442
- 1,527
AAAAH HA HA HA HAHA kwa hiyo baadhi yenu kuna wakati ni PUNGUANI .. :eyebrows::eyebrows:
Kila kabila lina mapunguani wake...
AAAAH HA HA HA HAHA kwa hiyo baadhi yenu kuna wakati ni PUNGUANI .. :eyebrows::eyebrows:
Kila kabila lina mapunguani wake...
Magufuli: Asiye na nauli ya kivuko, apige mbizi...Hii ni dharau. Wahaya mna dharau sana. Nimeishi nao miaka mingi. Mtu hana lolote ila anatamba balaa. Wahaya acheni dharau na maringo.
Kwanza naomba kudeclaire interest,mimi ni mhaya,naomba niungane na mleta mada kua sio wahaya wote wanadharau,ila kiujumla wahaya walio wengi wanadharau,tena madharau mabaya sana mama tibaijuka ni mbunge wa muleba na kila anachokifanya na kuongea anawakilisha wapiga kula wake hvyo no ngumu sana kuwatenganisha wahaya na dharau,sawa ilivyyo ngumu kuitenganisha yanga fc na ccm.
Kwanini mnawasurubu wahaya hii ni dhambi ya Ubaguzi tena usiyo na msingi binadamu wote sawa na kama mapungufu ni ya binadamu wote na sisi sote tumeumbwa na MUNGU kwanini tuanze kusurubiana na kuanza kunyosheana vidole kwa mapungufu yetu. Hapana tuwa wafuasi wa UTU ili tukiwa wote tuwa watu wa kufaana na kuleana kwa mapungufu yetu.
Kusemana humu hatubaguani na pamoja na nyie kuwa na tabia za ajabu bado wengi wenu ni marafiki zetu majirani zetu na tunashirikiana kwa mambo mengi tu mfano mimi ni mkurya na nina rafiki yangu mhaya tumekuwa marafiki kwa muda mrefu hata mkewe akijifungua mke wangu anaenda kumhudumia hata wiki 2 na yeye hivyo hivyo ingawaje vitabia fulani vipo na tunajua jinsi ya kuishi na ninyi.
Magufuli: Asiye na nauli ya kivuko, apige mbizi...Hii ni dharau. Wahaya mna dharau sana. Nimeishi nao miaka mingi. Mtu hana lolote ila anatamba balaa. Wahaya acheni dharau na maringo.
Huu nao ni upunguani aliyekwambia Magufuli ni mhaya nani? Kama hujui kitu kaa kimya.
Acheni ubaguzi bwana....
Kwanini mnawasurubu wahaya hii ni dhambi ya Ubaguzi tena usiyo na msingi binadamu wote sawa na kama mapungufu ni ya binadamu wote na sisi sote tumeumbwa na MUNGU kwanini tuanze kusurubiana na kuanza kunyosheana vidole kwa mapungufu yetu. Hapana tuwa wafuasi wa UTU ili tukiwa wote tuwa watu wa kufaana na kuleana kwa mapungufu yetu.