nakuja kuchukuaPesa huna ndiyo kauli gani hiyo? Nitafute nikupe pesa na michongo ya pesa pia.
Naona umelipenda jina? Huchoki kuli-mention....
Hilo lifanye kama peremende ya kijiti.ha ha ha haa sichoki
kende ajapitaHilo lifanye kama peremende ya kijiti.
Hajapita wapi?
Inasemekana nyerere alikuwa hawapendi wahaya, wanaojua sababu ya nyerere kutowapenda hao watu atujuze.
kende katerio unajua?Njooni kwa wahaya tuwaondolee umaskini
Alikuwa anajua kwamba tunajua zaidi yake, aliogopa kuumbuliwa
Ona sasa unatetemeka kwa msisimko, sema kwa sauti bila kusita..KATEREROOOOOO"
Nataka nimpe katerero ukiwa unachabo ili uone inavyotendewa haki.shemeji nitakunyima dada yangu
natamani huo mchezo ila naogopaNataka nimpe katerero ukiwa unachabo ili uone inavyotendewa haki.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
niliwahi kusoma na mhaya hizo dharau zake japo amekulia mjini
mleta mada unataka kupingana na ukweli kwamba hamna dharau wala majivuni ukweli kwamba yasemwayo yapo na hili lipo miaka yote tunawajua ile kauli ya mama tiba ni muendelezo tu wa tabia zenu
Kwanini mnawasurubu wahaya hii ni dhambi ya Ubaguzi tena usiyo na msingi binadamu wote sawa na kama mapungufu ni ya binadamu wote na sisi sote tumeumbwa na MUNGU kwanini tuanze kusurubiana na kuanza kunyosheana vidole kwa mapungufu yetu. Hapana tuwa wafuasi wa UTU ili tukiwa wote tuwa watu wa kufaana na kuleana kwa mapungufu yetu.