Sio kila Mhaya ana dharau

Sio kila Mhaya ana dharau

Kwanza kuhusu Mama Tibaijuka mi sioni kama alikuwa na dharau kusema hela ni hiyo ni ya mboga... Basi tu watu wameamua kushikilia bango maana mtu kusema milioni 10 ni hela ya mboga haimanishi kuwa ni hela ya kununulia mboga bali ni hela ya kufanyia matumizi madogodogo na watu wengi sana hutumia huo msemo mtaani kwa kusema kiasi fulani cha Pesa ni cha Mboga..

Najaribu kufikiria ile kauli ya vijisenti... Hiyo labda ndo ilikuwa ina dharau..... Mi sio mhaya ila tunakosea sana kupresume kila kitkachosemwa na mtu wa kabila hilo ni tambo au dharau wakati ukiangalia kiuhalisia wanachofanya wao hata makabila mengine wanafanya kila siku...tuacheni ukabila
 
Jamii ili itambulike kuna baadhi ya mambo lazima yawepo kutokana na CULTURE ya mahali Fulani! Leo hii watanzania wote tunaunganishwa na baadhi ya vitu kama Amani Upendo na mshikamano! Hizi ni tunu tulizopewa lakini kuna sehemu ukienda hasa nje ya nchi kuna baadhi ya mambo yametuchafua kama uuaji wa albino na madawa ya kulevya! Je ni watanzania wote wanafanya haya?
 
kila mhaya akishika hela akijua kitu zaidi huwa watajiinua sana... masawe mmoja tu umekutana na wachaga wangapi wachafu? mnamajivuno... MILIONI KUMI HELA YA KUNUNUA MBOGA MFYUUUU

mm nina marafiki wengi wachaga tunafanya madili km wakina Mrema,Mongi,Meena n.k na wote mifuko ikinona tunatamba mji mzima wa Dar...
 
Unasikitisha sana...

Kuna post ziko humu zinawakashifu vbaya mno wachaga kutokana na maeneo wanayotoka lakini Mimi sioni hoja za msingi pale..
Eti unaniambia wachaga wa sjui machame wanaua wanaume wao wakati Mimi nimemwoa Mmachame na hajaniua sioni la maana! Ila naishia kusema MTI WENYE MATUNDA MAZURI NDIO UNAORUSHIWA MAWE..

Hujatuambia wamachame wana matunda yapi mazuri mpaka watupiwe mawe.... we endelea kusubiri tu...Time will Tell.
 
Wahaya dharau sana. Mnawaita wa makabila mengine WANYAMAHANGA. Ukishaitwa Mnyamahanga kwenye sherehe zao utaishia kupewa maji baridi au soda baridi.

Hahaha...
 
Kwanza kuhusu Mama Tibaijuka mi sioni kama alikuwa na dharau kusema hela ni hiyo ni ya mboga... Basi tu watu wameamua kushikilia bango maana mtu kusema milioni 10 ni hela ya mboga haimanishi kuwa ni hela ya kununulia mboga bali ni hela ya kufanyia matumizi madogodogo na watu wengi sana hutumia huo msemo mtaani kwa kusema kiasi fulani cha Pesa ni cha Mboga..

Najaribu kufikiria ile kauli ya vijisenti... Hiyo labda ndo ilikuwa ina dharau..... Mi sio mhaya ila tunakosea sana kupresume kila kitkachosemwa na mtu wa kabila hilo ni tambo au dharau wakati ukiangalia kiuhalisia wanachofanya wao hata makabila mengine wanafanya kila siku...tuacheni ukabila

Kwa kweli watu wakifungua bongo zao na kushirikisha akili kama wewe nadhani tutaenda sawa
 
Kuna jamaa yangu wa Musoma aliwahi kukaa Bukoba akasema muhaya anajisifia amesoma mpaka mbwa wake amesoma yaani "nkashoma ne mbwa yange yashoma naigambira mbwa yeisiza nayeta dog yagamba wou" Hapana chezea nshomile no shiiiiiida!

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
niliwahi kusoma na mhaya hizo dharau zake japo amekulia mjini

mleta mada unataka kupingana na ukweli kwamba hamna dharau wala majivuni ukweli kwamba yasemwayo yapo na hili lipo miaka yote tunawajua ile kauli ya mama tiba ni muendelezo tu wa tabia zenu
 
KILA MHAYA....una uhakika na hili jambo?

NDIYOOOOOO!!!!!!!!!!! hata nilipo yupo sema kapewa ufupi nikijisikia nataka kitu nampa masifa linaleta tena wapo wengi utasikia ...mimi nimesoma , nitawouwa binti mzuri, nina hera wewe acha unjinga ..... wakienda restrant mama naniliii lete kile chakula cha kwetu
 
Magufuli: Asiye na nauli ya kivuko, apige mbizi...Hii ni dharau. Wahaya mna dharau sana. Nimeishi nao miaka mingi. Mtu hana lolote ila anatamba balaa. Wahaya acheni dharau na maringo.
 
NDIYOOOOOO!!!!!!!!!!! hata nilipo yupo sema kapewa ufupi nikijisikia nataka kitu nampa masifa linaleta tena wapo wengi utasikia ...mimi nimesoma , nitawouwa binti mzuri, nina hera wewe acha unjinga ..... wakienda restrant mama naniliii lete kile chakula cha kwetu

Kuna mwandishi wa habari wa ITV jina unalijua kwa tamaa ya pesa alifanya mpaka mchumba wske akajiua! Ni kabila gani vile?
 
Wanavyowabagua watanzania wenzao utafikiri siyo watanzania.VYOMBO VYA HABARI NDIVYO VINAVYOWAPA KICHWA,na wao kwa kujua hilo VYOMBO VYA HABARI VINAWA-PROMOTE wanavimba kichwa.Sehemu za umma au kwenye mikusanyiko ya watu wanajiongelesha kilugha chao kilichochanganyika na dharau kwa mashauzi meeeeengi.Mbona watu wa Mbeya,Kilimanjaro,Mwanza na mikoa mingine mikubwa hawana hiyo tabia?.Hawa wahaya wangekuwa wengi wangetawala hii nchi kimabavu.
 
Kuna jamaa wa kihaya tulikuwa chuoni bwana akawa ananiletea majivuno sana sasa kuna siku tukakutana mahali alikoma toka siku hiyo akiniona ananikwepa .
 
Back
Top Bottom