Sio kila Mhaya ana dharau

Sio kila Mhaya ana dharau

wahaya wooote wana dharau na wana roho mbaya sana. kuna m-bibi mmoja wa kihaya alishawahi kunambia eti dini yangu ni ya uongo na nitaenda motoni, na dini yake ya kikatoliki eti ndiyo ya kweli. toka siku ile yule bibi nilimwona mchawi. na siku tukikutana huko motoni sijui ataniambia nini. na ukienda majumbani kwao time zao za mlo hawaweki chakula mezani hadi uondoke
 
Mh. Kanji Lugola alisema Bungeni kuwa MHAYA kama ana hela utamuona tu!!!! Hawajui kuficha au kukaa kimya.

Wana utajiri wa kushindani magari ya Bei mbaya. Lakini hawsaidii ndugu zao kama wachagga.

wachag mnasaidiana kqa kuwekana ndondocha na mazuzu!!
 
wahaya mmh, ukiona muhaya haringi huyo ni masikin subiri apate visenti utaniambia. nishawahi kuwa na best friend muhaya kwa miaka sita tulikua tunasaidiana kwa hali na mali ametajirika kama miaka mitatu sasa, duu kila siku nilikua namtembelea mimi, nikaacha kumtembelea ikawa kila siku nianze kumsalimia kwa simu mimi tu, na sasa hata nikituma sms sasa hivi hanijibu,
 
Kifupi ni kwamba [size=+2]wahaya[/size] wana roho mbaya, wajivuni, wajuaji na wanadharau sana.

Mura, unataka kusema KILA Muhaya huzaliwa na chembe chembe za roho mbaya na mengine yanayofanana na hayo, au?
Na je KILA Mkurya huzaliwa na roho ya ukatili? au?
 
Kifupi ni kwamba wahaya wana roho mbaya, wajivuni, wajuaji na wanadharau sana.

Duuh kwanini unatuchukia hivyo? Inamaana wahaya wote tuna roho mbaya?

Wahaya kama binadamu wote walivyo wapo wabaya na wazuri!
 
at least weye umekubali kweli mna misifa wengine wanabisha mpaka tumefikia hatua ya kutafuta beyond tuonyeshane Kyenju unaona mwenzio anavyojielewa?
Miss Chagga soon naoa mchaga bhana kwan kitu gani, mtandao mbovu ngeweka picha.
miss chagga umeuelewa huo mstari wa juu?
 
kwahiyo ili mtu apendwe na watz .ajifanye poyoyo mjinga na hawezi lolote katika maisha huyo ndo mnamuhitaji ?acheni kudiscuss watu discuss matatizo yanayowakabiri.
 
Duuh kwanini unatuchukia hivyo? Inamaana wahaya wote tuna roho mbaya?

Wahaya kama binadamu wote walivyo wapo wabaya na wazuri!

Siwachukii ndo ukweli wenu ndivyo mlivyo.
 
Itawacost sana hiyo,MNA negativities sana na mtabaki kuumia na kujiumiza kisaikolojia daima,mlaumuni Mungu kwamba uliwaumba vibaya ili alete mtakaowapenda nyie

Huo nadhani ni mtazamo wako tu.Wahaya wako intergrated vizuri na jamii sawa ilıvyo kwa wengne.Hii utaıona kwa nafası za kuchaguliwa kwenye taasisı,mashirika,makanisani,misıkıtını,vikundi vya kıjamii.Wanachagulıwa na wenzao bila taabu yoyote sawa na wengne.Ingekuwa kwa namna na dhana uliyonayo wewe bhası tusingekuwa na Wahaya viongozi kwenye maeneo yenye jamii mchanganyiko.Bahati nzuri sana jamii ya Watanzania uelewa wao umeongezenga.Ww unakaa na kuumia nafsi ati flani ana maringo,majivuo,dharau?Daima watu wanaodai kudharauliwa ni watu wasiojiamini.Wote tupo kwenye jamii tunayoshuhudia maisha,haiwezekani kuwa wewe ndo umeweza kufanya tathmini sahihi kuhusu Wahaya.Yapo mapungufu yao sawa na makabila mengne yalivyo na mapungufu lakn jamii inaunganishwa na mambo zaidi ya hayo.
 
wahaya wooote wana dharau na wana roho mbaya sana. kuna m-bibi mmoja wa kihaya alishawahi kunambia eti dini yangu ni ya uongo na nitaenda motoni, na dini yake ya kikatoliki eti ndiyo ya kweli. toka siku ile yule bibi nilimwona mchawi. na siku tukikutana huko motoni sijui ataniambia nini. na ukienda majumbani kwao time zao za mlo hawaweki chakula mezani hadi uondoke

Wewe ndo mshamba kabısa.Hayo huwa nı maneno ya waamini wenye uelekeo wa kuokoka dhıdi ya wasio okoka na si wahaya.Mbona tunaambiwa sana maneno hayo na walokole wala hatujishughulishi kujua kabıla zao??Wenda huyo alikuwa Charismatıc Catholic.
 
Mwenye dharau ni Prof.Tibaijuka sio wahaya wote jamaani...........Kwani Chenge alipoita mabilioni ya pesa alizoiba kwa Watanzania ni "VIJISENTI" nae pia ni muhayaaaaa?Tusi-generalize vitu kwa stail hii
 
Wahaya wana zingua sana aisee na wote niliokutana nao wanajisikia

jamaa yangu aliniambia ukiona mhaya anaingia ndani kwako na mara ukaona joka kubwa linaingia ndani mwako basi pambana na mhaya kwanza ukishamtoa ndo ulitafute hilo joka uliue
 
jamaa yangu aliniambia ukiona mhaya anaingia ndani kwako na mara ukaona joka kubwa linaingia ndani mwako basi pambana na mhaya kwanza ukishamtoa ndo ulitafute hilo joka uliue

Sasa umezidisha na hapo unashambulia kwa atomiki, inabidi nao waje na nyukilia.EBU TUAMBIA WEWE KABILA GANI?UNAONA HATA AIBU KULITAJA.
 
Back
Top Bottom