ndo uache kushoboka
nishaacha
ndo uache kushoboka
Hivi hamjui hayo maringo na dharau za Wahaya ni maumbile yao kama mnavyowasifia wana mguu mizuri na shape nzuri kwa hiyo kubadirika sio rahisi kwani mtu huwezi kabadirisha maumbile kwani Mungu ndio amewaumba hivyo.
mbona wanyaruanda hawaringi?
Wewe ndo mshamba kabısa.Hayo huwa nı maneno ya waamini wenye uelekeo wa kuokoka dhıdi ya wasio okoka na si wahaya.Mbona tunaambiwa sana maneno hayo na walokole wala hatujishughulishi kujua kabıla zao??Wenda huyo alikuwa Charismatıc Catholic.
Naomba kuuliza, bucha gani inauza kitoweo cha milioni 10? Natafuta mboga ya leo mchana....
siimak hapo nimemjibu aliyedai wahaya wanaringa sababu wanasifiwa wana miguu na maumbo mazuriHapa wamezungumziwa wahaya na sio wanyaruanda, labda nikusahihishe hatujaongea Watanzania ni Wahaya.
siimak hapo nimemjibu aliyedai wahaya wanaringa sababu wanasifiwa wana miguu na maumbo mazuri
hatujaelewana na mimi nimemwekwa mnyaruanda sababu wao wana maumbo, miguu mizuri , nywele na hata sura na pia watu wengi tunawasifia sana lakini hawaringi kama hawa ndugu zetu wahaya kwa hiyo uzuri na kusifiwa si sababu ya wao kuringaHukunielewa nilichozungumza mwanzo, nilisema hivi huko kuringa ni maumbile yao yaani ndivyo walivyo hatuwezi kuwabadirisha, kama tunavyosifia mguu yao na huko kuringa ni moja ya sifa zao.
hatujaelewana na mimi nimemwekwa mnyaruanda sababu wao wana maumbo, miguu mizuri , nywele na hata sura na pia watu wengi tunawasifia sana lakini hawaringi kama hawa ndugu zetu wahaya kwa hiyo uzuri na kusifiwa si sababu ya wao kuringa
hatujaelewana na mimi nimemwekwa mnyaruanda sababu wao wana maumbo, miguu mizuri , nywele na hata sura na pia watu wengi tunawasifia sana lakini hawaringi kama hawa ndugu zetu wahaya kwa hiyo uzuri na kusifiwa si sababu ya wao kuringa
natamani huo mchezo ila naogopa
hatujaelewana na mimi nimemwekwa mnyaruanda sababu wao wana maumbo, miguu mizuri , nywele na hata sura na pia watu wengi tunawasifia sana lakini hawaringi kama hawa ndugu zetu wahaya kwa hiyo uzuri na kusifiwa si sababu ya wao kuringa
Nafikiri upeo wako ni mdogo kuelewa!
Narudia tena ndivyo Mungu alivyowaumba kabadirika ni vigumu ndivyo walivyo na wenyewe hawajui kama wanaringa wanaona wako sawa tu, kazi kwenu mnaoona wana tofauti.
Acha woga hii kitu bwashee hawaiwezi.
Basi tufanye wote
Nataka nimpe katerero ukiwa unachabo ili uone inavyotendewa haki.
Ok, andaa vitendea kazi, training itaanza muda wowote kuanzia sasa na zaidi tutajikita kwenye practical.
Nipo tayar njoo