Sio kila Mhaya ana dharau

Sio kila Mhaya ana dharau

Wahaya bwana,
kuna muhaya alisimamishwa na trafiki,
mhaya:unasemaje bwana mdogo??
Trafiki:kwa nini unaendesha gari ukiwa hujafunga mkanda?
Mhaya:usiseme gari, sema range rover.
Trafiki:sawa kwanini unaendesha hii range rover bila kufunga mkanda?
Mhaya:usiseme range rover tu, sema range rover ya mwaka 2015.
Mhaya:hii ni new model ya kisasa kabi
sa, mkanda wake ni wire less huwezi kuuona.
Trafiki: Safari njema kiongozi!!
 
Ninachoshukuru kwa wahaya ni kimoja tu wamepunguza kesi za ubakaji kwa hali ya juu.

Ila na ubaguzi na roho mbaya wanazo.huruma yao iko kuanzia kiunoni kushukia chini.ni wachache sana wastaarabu au kwa vile wengi walisoma kwa econyagi na kuuza bidhaa hai .....!
 
Ila na ubaguzi na roho mbaya wanazo.huruma yao iko kuanzia kiunoni kushukia chini.ni wachache sana wastaarabu au kwa vile wengi walisoma kwa econyagi na kuuza bidhaa hai .....!

Nashukuru unalijua hilo huku Dar es salaam kila kona utasikia watu wanasema hapo kwa wahaya.
 
Kweli ndugu yangu wanatuonea, Utafikiri makabila mengine hamna wanaoringa, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Mi naona makabila mengi yapo hivyo.tatizo samaki mmoja akioza......
Mfano wachaga jeuri na dharau zinajificha vile biashara haichagui mteja lakini nao pia wamo.na wahehe ni maskini ila dharau yao acha.! Wanyiha ndo bure kabisa wengi hata hawajielewi lakini roho ngumu ova....nyakyusa...
Kiufupi wengi wa mkoa wako hivyo........! Wanajikaza kaza tu.!
 
Hahaha
 

Attachments

  • 1425652357274.jpg
    1425652357274.jpg
    40.7 KB · Views: 398
Wahaya bwana,
kuna muhaya alisimamishwa na trafiki,
mhaya:unasemaje bwana mdogo??
Trafiki:kwa nini unaendesha gari ukiwa hujafunga mkanda?
Mhaya:usiseme gari, sema range rover.
Trafiki:sawa kwanini unaendesha hii range rover bila kufunga mkanda?
Mhaya:usiseme range rover tu, sema range rover ya mwaka 2015.
Mhaya:hii ni new model ya kisasa kabi
sa, mkanda wake ni wire less huwezi kuuona.
Trafiki: Safari njema kiongozi!!

Cheki na huyu naye.
 

Attachments

  • 1425654322762.jpg
    1425654322762.jpg
    81.5 KB · Views: 348
Mi naona makabila mengi yapo hivyo.tatizo samaki mmoja akioza......
Mfano wachaga jeuri na dharau zinajificha vile biashara haichagui mteja lakini nao pia wamo.na wahehe ni maskini ila dharau yao acha.! Wanyiha ndo bure kabisa wengi hata hawajielewi lakini roho ngumu ova....nyakyusa...
Kiufupi wengi wa mkoa wako hivyo........! Wanajikaza kaza tu.!

Ni kweli kuringa ni tabia ya mtu na wala sio kabila.
 
Shit, napita 2 ila naomba kujua aliyeleta mada ni kabila gani na wachangiaji wengine wamekosa maadili.
 
Ila na ubaguzi na roho mbaya wanazo.huruma yao iko kuanzia kiunoni kushukia chini.ni wachache sana wastaarabu au kwa vile wengi walisoma kwa econyagi na kuuza bidhaa hai .....!

Wewe huna huruma ya chini? Mpaka dakika hii umeshahurumia wangapi? Usipende kudharau wenzako wakati na wewe kitendea kazi kazi unacho au chako hakifanyi kazi?
Halafu wahaya hawana huruma wao wanafanya biashara, Umesahau wenye huruma ni wahehe (wewe niangusage dhambi ni zako) na wengine wamakonde (chimnyimi mtu kumnyima mtu ni dhambi nimepewa bure na Mungu).
 
Wewe huna huruma ya chini? Mpaka dakika hii umeshahurumia wangapi? Usipende kudharau wenzako wakati na wewe kitendea kazi kazi unacho au chako hakifanyi kazi?
Halafu wahaya hawana huruma wao wanafanya biashara, Umesahau wenye huruma ni wahehe (wewe niangusage dhambi ni zako) na wengine wamakonde (chimnyimi mtu kumnyima mtu ni dhambi nimepewa bure na Mungu).

Umevaba....umekubali kuwa hiyo kwenu ni biashara tu na huruma mlonayo ni kutomnyima mtu na haulali nje.! Lkn hao wengine wanafanya bila ya malengo ndo mana wengi ni ma-house maid.! Naishia hapa maana nadhani wenye mji kina max walinipiga ban kisa ni hii thread.! Kama nao si kina nyie bac wanatia kidole kwenye barafu kutafuta kitobo !
 
Wahaya ni shemeji zangu, tena nawapenda mno;lakini nitawaeleza ukweli ili waweze BADILI TABIA zao za kuudhi au kukera !

hahaha...me mwenyewe nimeolewa na wahaya lakini nathubutu kusema ni majangaa...lol kuanzia mama mkwe..mawifi..mpk mashemeji ni shida kazi ubinafsi tu.
 
Last edited by a moderator:
hallow nanii benzi yangu imegoma hapa sasa niletee ile vogue ya bluu nyekundu sitaki leo kwani jana nilikuwa nayo
AKAPAKI MAEGESHO YA K ANISA
mara tangazo kanisani
watumishi wa mungu mwenye gari namba T*** ABC tunamwomba akapaki vizuri
mara ya pili mara ya tatu,jamaa yupo bize na ipad yake ya appe/mac
baadaye muumini mmoja akamfuaTA baba hiyo inayotangazwa ni gari yako
akajibu siwezi kariri namba zote za magari yangu angesema vogue ya blue ningemwelewa
 
Back
Top Bottom