hahaha...me mwenyewe nimeolewa na wahaya lakini nathubutu kusema ni majangaa...lol kuanzia mama mkwe..mawifi..mpk mashemeji ni shida kazi ubinafsi tu.
Ha ha ha kila mhaya anasifa hata aweje ...akiwa mshika dini utafikiri anakaa na Mungu huko mbinguni...acha bana ila mtu kama mi nawapenda huwa nawapamba tu huku natumia vyao ...note... Huwa situmiki
Hehehee, sio suala la sifa. Wahaya wamekuwa trained to think big kwenye jambo lolote wanalofanya. Kitu ambacho sio kawaida kwa makabila mengi Tanzania ambapo watu wanakua trained kujiweka chini kwa sababu mbalimbali, hasa kuhofia mambo ya kishirikina na ujambazi. Mfano, huwezi hata siku moja kumsikia Muhaya anaita nyumba yake 'kibanda changu' no matter how small the house is, au Vitz yake aiite 'kausafiri kangu'. Ila kwa makabila mengine, hata kama mtu ana hekalu, utamsikia anasema 'kakibanda kangu' au Land Cruiser anaiita kausafiri kangu.
So ukiweza kukaa na Wahaya ukawaelewa vizuri, hata siku moja huwezi sema wana dharau, its just their ways of living. Mfano Prof Tibaijuka aliposema milion 10 alitumia kununua mboga ni lugha ya picha inayomaanisha matumizi binafsi, sema kwa nature ya suala lenyewe, ikatafsiriwa na wengi kama dharau. Ila wengi wetu tunatumia maneno kama hayo kila siku lakini tunaona ya kawaida tu. Mfano tunaposema 'kula bata' badala ya kufanya starehe.
Hii training kiboko. Hata Ruge alisema yale mabilioni yalikuwa vijisenti.
duh kwa hiyo nyie mna kubwisha vitu hata kama ni vidogo?Hehehee, sio suala la sifa. Wahaya wamekuwa trained to think big kwenye jambo lolote wanalofanya. Kitu ambacho sio kawaida kwa makabila mengi Tanzania ambapo watu wanakua trained kujiweka chini kwa sababu mbalimbali, hasa kuhofia mambo ya kishirikina na ujambazi. Mfano, huwezi hata siku moja kumsikia Muhaya anaita nyumba yake 'kibanda changu' no matter how small the house is, au Vitz yake aiite 'kausafiri kangu'. Ila kwa makabila mengine, hata kama mtu ana hekalu, utamsikia anasema 'kakibanda kangu' au Land Cruiser anaiita kausafiri kangu.
So ukiweza kukaa na Wahaya ukawaelewa vizuri, hata siku moja huwezi sema wana dharau, its just their ways of living. Mfano Prof Tibaijuka aliposema milion 10 alitumia kununua mboga ni lugha ya picha inayomaanisha matumizi binafsi, sema kwa nature ya suala lenyewe, ikatafsiriwa na wengi kama dharau. Ila wengi wetu tunatumia maneno kama hayo kila siku lakini tunaona ya kawaida tu. Mfano tunaposema 'kula bata' badala ya kufanya starehe.
duh kwa hiyo nyie mna kubwisha vitu hata kama ni vidogo?
Kweli ndugu yangu wanatuonea, Utafikiri makabila mengine hamna wanaoringa, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Ya Chenge hukuyasikia?Hii training kiboko. Hata Ruge alisema yale mabilioni yalikuwa vijisenti.
Kumnyima mtu dhambi ao ni watu wa MasasiWewe huna huruma ya chini? Mpaka dakika hii umeshahurumia wangapi? Usipende kudharau wenzako wakati na wewe kitendea kazi kazi unacho au chako hakifanyi kazi?
Halafu wahaya hawana huruma wao wanafanya biashara, Umesahau wenye huruma ni wahehe (wewe niangusage dhambi ni zako) na wengine wamakonde (chimnyimi mtu kumnyima mtu ni dhambi nimepewa bure na Mungu).