Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Sasa umezidisha na hapo unashambulia kwa atomiki, inabidi nao waje na nyukilia.EBU TUAMBIA WEWE KABILA GANI?UNAONA HATA AIBU KULITAJA.
mada ilikuwa haihitaji kutaja makabila...ila mimi mzasu
Sasa umezidisha na hapo unashambulia kwa atomiki, inabidi nao waje na nyukilia.EBU TUAMBIA WEWE KABILA GANI?UNAONA HATA AIBU KULITAJA.
wahaya mmh, ukiona muhaya haringi huyo ni masikin subiri apate visenti utaniambia. nishawahi kuwa na best friend muhaya kwa miaka sita tulikua tunasaidiana kwa hali na mali ametajirika kama miaka mitatu sasa, duu kila siku nilikua namtembelea mimi, nikaacha kumtembelea ikawa kila siku nianze kumsalimia kwa simu mimi tu, na sasa hata nikituma sms sasa hivi hanijibu,
jamaa yangu aliniambia ukiona mhaya anaingia ndani kwako na mara ukaona joka kubwa linaingia ndani mwako basi pambana na mhaya kwanza ukishamtoa ndo ulitafute hilo joka uliue
Makabila makubwa ni lazima yazungumziwe kwa maana yana vitu vingi pia na yanatumia influence yao kudominate vidogo ambavyo kimsingi haiwezekani vikapenda hari hiyo,vitajaribu kuwasema ilimradi tu vinasema lakini huo ndo ukweli.Wahaya wengi wako vizuri tena wanatisha na hata mkoa wao Kule hakunaga jua wala joto,wana vyakula wanakula wanashiba kila siku Victoria na maroli yanabeba matani ya ndizi kwenda masokoni ,sasa kwanini mnataka wajione wanyonge? msifuni bwana kama Amekupa na unavyo na wala usione aibu watu kuona in vitu gani Mungu alikupa,kwani so hata yeye anajua unavyo na ndo vipawa vyake kwako? vitumie!
Huna ujasiri wa kuwakataa wahaya make wana sifa zote za kuwa-care wanawake. Na kwa posts zako nyingi hapa jf unaonekana(ga) we ni mala.ya tu mtafta fedha huna jeuri ya kuwakataa wahaya wazee wa kutumia... hahahahaha... iwe bojo nitumie sms ushinde mihela.
Hela ya muhaya naila bila hata kumpa papuchi..wahaya misifa ya kijinga hamna jipya nyie
ndiyo nipe hiyo nafasi uone je nakufilisi au napunguzaKwa maana hiyo hata wewe utapunguza kiasi kidogo, siyo kwamba utanifilisi.
kende sijakuelewaUna rambooo,mi nna muwa, mi
ujinga ujinga tu Eee hujaniua.....!
unazidi kuwatia hasira wachaga hahaha
Wanadhalau waleee siwatak kuwaona
ndiyo nipe hiyo nafasi uone je nakufilisi au napunguza
Sema unataka nini acha kuzunguka mbuyu, mtu mmoja hawezi kunifilisi. Wewemwenyewe umekubali kuwa huwezi kukausha bahari kwa kuchota maji na ndoo. Karibu miss chagga.
nataka pesa zako
Anza kufanya mipango ya jinsi ya kuzitumia.
matumizi siyo atizo pesa ndiyo sina