master peace
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 1,450
- 444
huwa sipendi kujishughulisha na kitu nsicho jua me n mwananchi wa kawaida najua kufanya kaz kupata rizki yangu na familia yangu bia ada wanangu mafuta nk..ila lisemwalo lipo wasomi wapo wengi tu tena sana kuliko watu wanavyo dhan.kaz njema
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mkuu hakuna anaye pingana na wewe; ni kweli wasomi wapo, cha kushangaza akili zao zimeshikiliwa magogoni.