Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Suala linalohusu video inayomhusisha mkurugenzi wa usala wa CHADEMA, Winfred Lwakatare limezua gumzo kubwa nchini na kwa wengine kuwwacha kwenye hali ya sintofahamu.
Polisi imejiingiza katika suala ambalo sina shaka kuwa litaleta historia ndani ya jeshi hilo (be it positive or Negative). Suala hapa linahusisha matumizi ya technolojia katika kupandikizia watu makosa au teknolojia ilivyofanikisha kukamatwa kwa mtu anayepanga jinai.
Wengi hawaamini kwamba video ile ina uhalisia wowote, wanaamini ni michezo ya kitechnolojia imetumika kutengeneza issue ile.
NINACHOJIULIZA JE, POLISI WATASHIKA LIPI IKIWA WATAALAM WATAINGIZA SAUTI YENYE MAZUNGUMZO TOFAUTI KATIKA CLIP ILE ILE?
UPANDE MWINGINE NI JE, KWA WATETEZI WA LWAKATARE KWA NINI WASI EDIT CLIP ILE ILI KUYAPA NGUVU MADAI YAO NA KUONDOA HALI YA SINTOFAHAMU.
NAWASILISHA.
Polisi imejiingiza katika suala ambalo sina shaka kuwa litaleta historia ndani ya jeshi hilo (be it positive or Negative). Suala hapa linahusisha matumizi ya technolojia katika kupandikizia watu makosa au teknolojia ilivyofanikisha kukamatwa kwa mtu anayepanga jinai.
Wengi hawaamini kwamba video ile ina uhalisia wowote, wanaamini ni michezo ya kitechnolojia imetumika kutengeneza issue ile.
NINACHOJIULIZA JE, POLISI WATASHIKA LIPI IKIWA WATAALAM WATAINGIZA SAUTI YENYE MAZUNGUMZO TOFAUTI KATIKA CLIP ILE ILE?
UPANDE MWINGINE NI JE, KWA WATETEZI WA LWAKATARE KWA NINI WASI EDIT CLIP ILE ILI KUYAPA NGUVU MADAI YAO NA KUONDOA HALI YA SINTOFAHAMU.
NAWASILISHA.