Single mums and dads come this way


Zamda Geuka sijahukumu wala. Ndio maana nikasema sijavaa viatu vyake.
 
Last edited by a moderator:

Yeah. Kuna watu wanawadanganya wanawake wengine kwamba usingle mother unalipa na ni mzuri. Wanaishia kuwa na msongo wa mawazo na kusononeka kusikoisha. Hebu imagine mtoto anauliza baba yuko wapi? Halafu asipate jibu la kueleweka, na mtu anadai I am happy kuwa single mother na sijawahi kujutia! Hell No!
 
Na wala sidhani kumwita mtu singo parenti ni kumviktimaiz au kumdivalyu. Huo ndio ukweli, malezi yanayotolewa na mzazi mmoja ni usingo parenting huo.

May be, may be not...
Ukisoma btn the lines, utaona baadhi ya waandishi wanaonesha kama ni 'ushujaa usio wa kawaida' kwa kuweza kulea peke yake? Kwa nini? Deep down kuna feelings za kujiona aidha 'weak au abnormal' kwa kulea peke yake. Anyway, mtizamo wangu, na sijawahi mwita mtu single parent wala kuhisi amepungukiwa.

Kwa nini wanaolea wawili hawajilebo kama 'double parents'? Wako okay na walivyo.

Ndo maana hii 'haki za wanawake' sijui 'usawa wa kijinsia', between the line huwa mushkeli (hata wanaodai haki wenyewe deep down wanajiona dhaifu, ila majukwaani wanajikakamua), kama uko happy na ulivyo, kwa nini upige kelele sana ili usikike?
 
Hata mie Kilaza kaniacha mdomo wazi. Siwezi kuvaa viatu vyake coz wazazi wangu walikuwepo na wote walihakikisha napata malezi bora. Lakini kumtukana mzazi kiasi hicho...mmmmh!

mkuu nadhani hujui maana ya neno MZAZI
nakama unajua basi unalitumia vibaya
 
Last edited by a moderator:
Hongera, fomu wani huyo.

Why unataka ushauri wa kisheria? Usaidiwe kulea?

Je, kulea mtoto ni material things tu?

Wala sihitaji kusaidiwa kuela, kwani mpaka huu mwaka wa 12 nimeweza sidhani kama miaka ijayo nitashindwa. Kuna masuala ya kisheria nilitaka msaada. Unaweza kutafuta huko jukwaa la sheria kwa muda wako iwapo utaweza.
 

hahaha hapo mwisho eti "mama kilaza " u cant be serious

by the way u a right I learned something

one more thing mimi sina uchungu wowote kwakuwa sijawai kujutia kutokuwa na kubwa jinga
 
Wababa wengine wanakera sana heri
uwe na baba asiye na uwezo lakini akujali kuliko awe na uwezo halafu anakutosa,inatia uchungu sana,lakini inshaAllah Mwenyezi Mungu atufanyie
wepesi kwa kila hali..

Amen.......
 
Zamda Geuka sijahukumu wala. Ndio maana nikasema sijavaa viatu vyake.

No,nilikutahadharisha tu kuwa kauli za kilaza zisikufanye ukamshangaa,katika mazingira kama yako uliyolelewa ni ajabu hata mimi najua,lakini kwa maisha ya kilaza tusishangae inawezekana yangetukuta sisi labda tungefanya hivyo.Tuko pamoja mkuu Eli 79
 
Last edited by a moderator:
nimejikuta nacheka sana. watu tumewahi kuchukia baba zetu ila hii ya kwako kali. yaani matusi yote ya kwake! hahahaaaaa big ass, kiazi, kubwa jinga................ Ila nakubaliana na ushauri uliompa devota.

wala simchukii ila ndio ukweli huo
 
Thank you Ukweli1, very few people will understand & respect my decisions. Thank you for your prayers, thankfully i am at peace with my decision and will never live to regret. Only the person wearing a shoe knows where it pinches the most!

Sielewi kwa nini umetumia hayo maelezo kama kweli umepitia comments za Miss Kim na kuzielewa, but anyway let us agree to disagree.

To you Miss Kim, I respect your decisions and you are in my prayers.
 
duh pole sana
 
mi naona tuwaache watu wafanye wanayoona ni sawa maana kitu kisipokuwa sawa kwa wote hakiachi kuwa sawa.

Basi na wewe niache na mie nitoe maoni yangu, ni wapi nimemlazimisha afanye asichotaka? Nimeweka arguments zangu mezani, ziponde kama zilivyo.

hizi habari za haki haki wakati mwingine hazina maana.
Sijui unaposema hizi haki hazima maana unakuwa unamaanisha nini? Kwa nini mtu akiua mwanae anafungwa? Au akitelekeza kichanga ama kutoa mimba? Si mwanae bana, what do you care, labda hana uwezo wa kumtuza.



Kwa hiyo, huyu mtoto anyimwe haki yake kwa kuhofia yaliyotokea kwa wengine? Yaani sababu mtoto mmoja alitaka kubakwa na baba yake, basi kila mwanamke akizaa aogope kumjulisha baba mtoto kwa kuhofia atambaka? Does not make any sense to me.

Kumtaarifu baba mtoto ni A, mama kuumizwa na majibu ya baba mtoto ni B, havina uhusiano.


Kumjulisha baba existance ya mtoto ni A, baba mtoto kukataa kulea ni B, havihusiani.

Nilimponda kwa sababu alitaka kujua haki zake kisheria, wakati huo huo hakuwa ameweka wazi madai anayotaka kusaidiwa ni yapi na hakuwa ameweka wazi kama yeye ni mke halali ama lah. Sasa hapo asaidiweje?
Lakini pia nilikuwa najaribu kumuonesha vita anayotaka kuipigana ina tija? Uhangaike na kesi RITA weee, afu unapewa 50K kwa mwezi? Si bora huo muda utumie kuchoma vitumbua.
 
hahaha hapo mwisho eti "mama kilaza " u cant be serious

by the way u a right I learned something

one more thing mimi sina uchungu wowote kwakuwa sijawai kujutia kutokuwa na kubwa jinga

ofcoz ni mama kilaza ndo jina lako nalifahamu, kwa nini ujute kama mtu mwenyewe hajielewi? Km huyu baba mtoto wangu hamjui mtoto kabisa kaja yuko form3 nimeongea nae friendly bado anatoa ahadi badala ya kujisafisha eti ananiblock jamani kwa nini Abdulaziz wangu asiwe kilaza mwingine?Wanaume nyie!!
 

mi naona kuna haja ya kuanzisha uzi watu waliolelewa na mzazi mmoja waelezee uzoefu wao tujue kama waliwasumbua wazazi wao kutaka saaana kuwajua baba/mama zao na waliponyimwa haki hiyo waliathirika vipi - kwa mfano ni wangapi waliishia kuwa machokoraa kwa sababu hiyo kama Asprin alivyojaribu kuonyesha. Machokoraa ni feature ya jamii maskini tu tena zenye idadi ndogo ya single parents ukilinganisha na zile jamii zilizoendelea. Naona tunakuuuuza sana baadhi ya mambo au hatuelewi undani wake. Watoto wengi tu wako mitaani wamekimbia vita na njaa majumbani kwenye wazazi wawili. kwa tz mtoto mwenye mzazi mwenye uwezo si rahisi kuwa chokoraa - simba hata akikonda vipi hawezi kuwa kama mbwa.
 
Kilaza I miss you jamani,hahahaa umenichekesha sana huachi vituko!!.

Yethuuuuu mithiii you tuuu zamda

hili jina lako linanikumbusha back in those gud days.......

zamda a.k.a mama wa dunia
 

zamda wangu kwani Abdulaziz alishawai kukusumbua kuhusu mzee wake
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…