Usimlaumu wa kumshangaa Kilaza huwezi jua maumivu yake alivyoona mama kakimbiwa hana pakuanzia na watoto wanasubiri malezi wakati baba anahangaika
na wanawake wengine,ana uchungu jinsi mama yake alivyoteseka wakati mtu wa kumsaidia alikuwepo.Kilaza sikuhukumu katika hili ila najua umejifunza kitu,pole sana na Mungu atazidi kumbariki mama Kilaza.
polen kwa changamoto za kuwa single parents.Devotha story yako imenipa simanzi.Na imebadirisha kabisa mtazamo wangu kwenu!!
Nafikiri moja ya chanzo cha kuwa s/mums ni kwamba wanaume wanao wapenda wanawake toka mioyoni hawapewi nafasi.Wale playboys ndio wana nafasi kubwa kwenu na ndio waumizaji wakubwa.Na kuwa s/mum sio choice ya mtu sema kuna mazingira yanalazimisha hali hiyo.Pia wenye status siyo wako mstari wa mbele kuwaaminisha watu juu ya maisha ya ndoa kama sio kitu vile!
Na wala sidhani kumwita mtu singo parenti ni kumviktimaiz au kumdivalyu. Huo ndio ukweli, malezi yanayotolewa na mzazi mmoja ni usingo parenting huo.
Hata mie Kilaza kaniacha mdomo wazi. Siwezi kuvaa viatu vyake coz wazazi wangu walikuwepo na wote walihakikisha napata malezi bora. Lakini kumtukana mzazi kiasi hicho...mmmmh!
Hongera, fomu wani huyo.
Why unataka ushauri wa kisheria? Usaidiwe kulea?
Je, kulea mtoto ni material things tu?
Sijutii kuwa single mum;
Usimlaumu wa kumshangaa Kilaza huwezi jua maumivu yake alivyoona mama kakimbiwa hana pakuanzia na watoto wanasubiri malezi wakati baba anahangaika
na wanawake wengine,ana uchungu jinsi mama yake alivyoteseka wakati mtu wa kumsaidia alikuwepo.Kilaza sikuhukumu katika hili ila najua umejifunza kitu,pole sana na Mungu atazidi kumbariki mama Kilaza.
Wababa wengine wanakera sana heri
uwe na baba asiye na uwezo lakini akujali kuliko awe na uwezo halafu anakutosa,inatia uchungu sana,lakini inshaAllah Mwenyezi Mungu atufanyie
wepesi kwa kila hali..
Zamda Geuka sijahukumu wala. Ndio maana nikasema sijavaa viatu vyake.
nimejikuta nacheka sana. watu tumewahi kuchukia baba zetu ila hii ya kwako kali. yaani matusi yote ya kwake! hahahaaaaa big ass, kiazi, kubwa jinga................ Ila nakubaliana na ushauri uliompa devota.
Mi nikimkumbuka aliyenipa mimba natamani nimtaje jina hapa sasa hivi halafu ndo nieleze ushenzi wake.
duh pole sanaPoleni single mom's wote nikiwemo na mm.ila mm ckutendwa ila Allah alinipa mtihani mkubwa alimchukua baba Wa mtoto mapema Sana maskini mwanangu hajui hata Mapenzi ya baba yakoje! ila namshukuru Mungu ajaniacha najitahidi kumtimizia mwanangu akitakacho ili asione pengo la baba.Ana 12 yrs sasa yupo std six Mdada tayari.ila nimepitia changamoto nyingi zenye kuumiza na kukatisha tamaa ila nimesimama imara.wakati Mwingine humu ndani ndiyo mabingwa Wa kutuponda single mom's bila kujua ilikuaje mpaka tukawa single mom.
mi naona tuwaache watu wafanye wanayoona ni sawa maana kitu kisipokuwa sawa kwa wote hakiachi kuwa sawa.
Sijui unaposema hizi haki hazima maana unakuwa unamaanisha nini? Kwa nini mtu akiua mwanae anafungwa? Au akitelekeza kichanga ama kutoa mimba? Si mwanae bana, what do you care, labda hana uwezo wa kumtuza.hizi habari za haki haki wakati mwingine hazina maana.
watu wengi hapa wameonyesha walijaribu kutekeleza huo wajibu wa kuwataarifu wazazi wenzao juu ya watoto lakini walichoambulia ni maumivu tu. baba hataki kumtambua mtoto lakini mama bado anang'ang'ana kumtambulisha japo kwa ndugu wa baba. haki ya mtoto kufahamu mzazi. nilishawahi kutoa mfano wa ukweli hapa juu ya binti aliyeamua kumtafuta babaye ukubwani baada ya kufichwa na mamake. yaliyomkuta yule binti hatakaa asahau. aliponea kubakwa na babake siku ya kwanza tu waliyoonana. Inawezekana kabisa mama alijua amezaa na kichaa wa ngono - si ajabu naye alibakwa. Hatujui yanayoendelea kwenye vichwa vya watu, ikiwezekana tuwaache tu.
Halafu unavyodai ni haki ya mtoto kufahamu wazazi wake mbona kule juu ulimponda mama anayedai haki ya matunzo ya mtoto mpaka mahakamani kwa kusema malezi si material tu??? Kwa hiyo mzazi wa kiume ana haki ya kumjua mwanae ila ana uchaguzi wa kulea au kuacha?
hahaha hapo mwisho eti "mama kilaza " u cant be serious
by the way u a right I learned something
one more thing mimi sina uchungu wowote kwakuwa sijawai kujutia kutokuwa na kubwa jinga
Hatuombei yatokee but huyo mtoto I don know ana umri gani, na kama si mkubwa ipo siku atakua na kuwa na akili ya kutambua vitu.... narudia tena ... hatuombei yatokee but ikitokea baba yake kaaga dunia na mtoto alikuwa na uwezo wa kumuona baba yake angali hai ukamficha utamwambia nn mtoto wako akuelewa... huoni ya kuwa utakuwa umemkosesha mtoto wako kitu cha muhim sana ktk maisha yake.... thing beyond
Kilaza I miss you jamani,hahahaa umenichekesha sana huachi vituko!!.
Kama vile namfahamu, lakini sijui labda machale yangu yamenicheza tofauti!
Yethuuuuu mithiii you tuuu zamda
hili jina lako linanikumbusha back in those gud days.......
zamda a.k.a mama wa dunia
ofcoz ni mama kilaza ndo jina lako nalifahamu, kwa nini ujute kama mtu mwenyewe hajielewi? Km huyu baba mtoto wangu hamjui mtoto kabisa kaja yuko form3 nimeongea nae friendly bado anatoa ahadi badala ya kujisafisha eti ananiblock jamani kwa nini Abdulaziz wangu asiwe kilaza mwingine?Wanaume nyie!!