Wewe unaweza kumlipia ada mtoto wa mwanaume wako aliyempata kwa mwanamke mwingine?utatoboa ndio, mbona kodi mnalipa muhula mzima huwezi kupata 50000?
Wewe unaweza kumlipia ada mtoto wa mwanaume wako aliyempata kwa mwanamke mwingine?utatoboa ndio, mbona kodi mnalipa muhula mzima huwezi kupata 50000?
Kama inawezekana nenden mguu kwa mguu kwa baba mtoto mkazungumze naye kuhusu mkwamo mnaopitia na yeye aone namna anavyoweza kuwakwamua.MREJESHO
SHULE ZIMEFUNGULIWA TOKA WIKI ILIYOPITA MIMI NIMESHINDWA KULIPA HIYO ADA,
SINGO MAZA ANAMPIGIA SIMU BABA MTOTO WIKI NZIMA SIMU HAZIPOKELEWI
SHIDA HUYU SINGO MAZA ALIMZALILISHA SANA BABA MTOTO WAKE LAST TIME NA AKAMWAMBIA HAHITAJI MSAADA WAKE WOWOTE ULE, IMEPITA MIEZI MIWILI JAMAA HAJAWAHI PIGA SIMU WALA MESEJ KUULIZIA HATA HALI YA MTOTOKama inawezekana nenden mguu kwa mguu kwa baba mtoto mkazungumze naye kuhusu mkwamo mnaopitia na yeye aone namna anavyoweza kuwakwamua.
Dharirisha vs Zalilisha.SHIDA HUYU SINGO MAZA ALIMZALILISHA SANA BABA MTOTO WAKE LAST TIME NA AKAMWAMBIA HAHITAJI MSAADA WAKE WOWOTE ULE, IMEPITA MIEZI MIWILI JAMAA HAJAWAHI PIGA SIMU WALA MESEJ KUULIZIA HATA HALI YA MTOTO
Ndio naweza kwani mtoto kanikosea nini? Mna roho mbaya jamani🙄Wewe unaweza kumlipia ada mtoto wa mwanaume wako aliyempata kwa mwanamke mwingine?
Unataka mwenzio amwagiwe uji wa moto usoni sio? Haya endelea kumdanganya!Dharirisha vs Zalilisha.
Waliovuliana chupi na boxer wakikutana wana namna yao ya kuzungumza. Trust me mpeleke mwenzako kwa mume mwenza, lazima jamaa atawasaidia tu ila uwe tayari wapashe kiporo.
Acha kumtisha mkuu.Unataka mwenzio amwagiwe uji wa moto usoni sio? Haya endelea kumdanganya!
Sio roho mbaya bwana, nature inakataa kwenye baadhi ya mamboNdio naweza kwani mtoto kanikosea nini? Mna roho mbaya jamani🙄
Au waongeze bwana mwingine kwenye mahusiano yao..Acha kumtisha mkuu.
Mwache ajaribu njia tofauti tofauti hadi ada ipatikane
Uchoyo wako tu mnasingizia nature.. unampenda mtu na pesa unayo unashindwa kumpush kidogo?umasikini unawasumbua!Sio roho mbaya bwana, nature inakataa kwenye baadhi ya mambo
Hilo nalo wazo zuri.Au waongeze bwana mwingine kwenye mahusiano yao..
Mtukumbuke kwenye maombi yenu mkuu.Uchoyo wako tu mnasingizia nature.. unampenda mtu na pesa unayo unashindwa kumpush kidogo?umasikini unawasumbua!
Huyo ni simp,masimp huwa ndio wanaume mabwege ambao wanatumika na wanawake na kuwapa jeuri nje ya mahusiano ya ndoa na ndani.Masingo maza wanazidi kuwa wengi huku wakijifanya kuwakaushia wazazi wenza kwamba hawataki misaada yao kwa watoto, Ni upumbavu tu singo mama kukataa msaada wa baba mtoto huku ukimtwisha mzigo fala ndiye agharamikie matunzo ya mtoto wakati baba yake yuko hai
Aje niwape bwana wangu.Hilo nalo wazo zuri.
Ikiwezekana mpe koneksheni na mchimbaji wa Katoro.
Kumsumbua tu Mungu, jiombeeni wnyewe kama hamzitaki hizo roho!Mtukumbuke kwenye maombi yenu mkuu.
Roho mbaya inatesa sana.
Yeeh! (In Kingwendu's voice)kuna wazee pia wanakwama..
Walete tu hizo pesa tuzitafune, hakuna namna!Yeeh! (In Kingwendu's voice)
Kwa akili yako ya kibodaboda kweli huyo mwanamke Hana mawasiliano na aliyezaa nae?Kazi yangu ni bodaboda, na nilijuana na huyu single maza kupitia kazi yangu hii, maana yeye anafanya kazi bar hivyo uwa anatoka usiku sana, basi akachukua namba yangu ikawa kila usiku anapiga simu nimfate mda wa kutoka kazinina mazoea yakaanzia hapo.
Baba mtoto wake ni dereva wa halmashauri fulani huko mkoani, na anampenda sana huyu dada, kiufupi baba mtoto anaonekana alikuwa na malengo na huyu single maza, hata kuhudumia alikuwa anahudumia kwa uwezo wake aliyojaliwa.
Sasa huyo baba mtoto baada ya kugundua mimi Nina mahusiano na huyu single maza wake, amekata mawasiliano kabisa na huyu single maza yaani hatoi hata Mia, siyo kodi, chakula wala Ada ya mtoto.
Nimejahidi kuwa nasaidia kuhusu chakula na kumchangia kodi(tukaanza kuishi wote) nasaidia pia mahitaji mengine madogo madogo, kwa bodaboda yangu nimekuwa nikimpeleka kazini na kumrudisha usiku wa manane bure kabisa,, ila mambo yamekuwa magumu ananitaka nilipe na Ada ya mtoto wake sasa.
Nimemwambia amshirikishe baba wa mtoto wake, anakataa anasema hataki msaada wowote kutoka kwa baba mtoto, kwamba ananipenda mimi kwasasa hivyo mimi ndiyoo nimsaidie hiyo hela ya Ada.
Kipato chake yeye ni 300000 kwa mwezi
Nyumba tunayokaa 100000 kwa mwezi
Dada wa kazi 50000
Mtoto wao anasoma private Ada 250000 kila robo muhula hivyo kwa mwaka milioni,
School bus 50000 kila mwezi
Hapo chakula bado na mahitaj mengine,
Kuhusu mimi kipato changu ni 15000 kwa siku nikitoa mafuta na hela ya tajiri,
Wakuuu hivi natoboa kweli hapaaaaaa
Baba wa mtoto kasusaaa kabisa
Una moyo wa ku share?Aje niwape bwana wangu.