Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,271
- 13,428
HV huo uhalali Wa kusema wanaenda kupanua miguu hovyo unaupata WAP ilhali hata mkeo/mpenzio hujamkuta bikra?
Mbn watu wapuuzi kiasi hcho?
ww bwana ni mzigo kweli ww.
Sikijui unachokitetea
HV huo uhalali Wa kusema wanaenda kupanua miguu hovyo unaupata WAP ilhali hata mkeo/mpenzio hujamkuta bikra?
Mbn watu wapuuzi kiasi hcho?
komaa kama umri wako bado unadai, usikubali mimba kabla ya ndoa.
ni bora uwe senior bachelor kuliko kuzaa kama chura. nitakuelewa ukiwa single mom kama klyn wa bwana machache. pale hata dada yangu nitamshauri do it worry not.
yaani ww ndio naweza kukuita ni mnafiki mkubwa.
Kama unawapenda mbona hujaoa single momz?
Usiupotoshe umma kwa kuuficha ukweli ww mwenyew hata kama hujaoa huwez kuoa single momz.
Sasa hvi unawapa moyo ili waendelee kuzini na kuzaa.
..........acha kuwa mzigo nanga.......
kupasha kiporo ipo...itifaki nimezingatia katika hiliWatu wengi wanachukulia single momz kama hawana umuhimu tena na hawafai katika mahusiano. Siku hizi wanaume wengi ambao hawajakuwa na watoto utasikia wakisema "Mimi mwanamke wenye mtoto simtaki amechoka na amekongoroka kabisa huyo"
Kumbuka hapa kuna wanawake wengine hata ukikutana nae na asipokuambia ana mtoto huwezi jua, anajipenda na ni mrembo wa kuvutia na mwenye maendeleo.
Wanaume wengi sana wanaona hana thamani, na wengine kusema ni wameshindikana walikotoka yaani na jaamaa aliyezaa nae.Tukumbuke NOT EVERYMAN MEANT TO BE A DADY, kuna wengine ni waharibifu tu, pengine pia tofauti za maisha zinazotokea zinapelekea yote hayo kutokea, Watu hawaelewi...
Single moms haimaanishi hawatakiwi kuwa na mahusano mengine mapya labda na mwanaume ambaye hana mtoto, wengi hudhani ukijitumbukiza hapo basi utalea mtoto.
Jamani kuna watu wanauwezo wa kutake care ya watoto wao bila msaada, jiulize kabla yako nani alikuwa anamsaidia kama sie mwenyewe. Ni faraja na upendo tu anahitaji kutoka sehemu nyingne.
Hawa watu haimaanishi waolewe au wawe na mahusiano na wanaume ambao nao wanawatoto...eti sababu wasaidane kulea... Tena na zile familia zikisikia kijana anasema "nina mwanamke ila ana mtoto" moto unawaka, jamani jamani? Huu si ubaguzi lakini?
Mwenye mawazo hayo wewe ni katili na mbinafsi kabisa. Na ndo maana inafikia hatua wanaume mnafichwa mnakuja kutambua kwamba ana mtoto imepita hata miaka 10, halafu unalaumu oooh hakuniambia. Hakukuambia kwasababu anajua mtazamo wenu kwao...
Mimi naomba tu niwaambie ndugu Kaka zangu, wadogo zangu, Mwanamke aliyezaa ni sawa na wengine tu, tena bora yeye kazaaa anajua ana kizazi, kuliko hao wasiozaa na wanaokesha kila siku kutafuta watoto kwa waganga..
Mimi mwenyewe ni mfano mzuri, nimepata unyanyasaji sana na wanaume, pale nilipokuwa nawaambia nina mtoto, wengine walishia kimya kimya, wakidai eti tuna kawaida ya kupasha kiporo na mzazi mwenza HIYO NI UONGO NA FIKRA MBOVU ZA WATU
Na kamwe sikuweza kuficha kama sina mtoto kwasababu najua nini maana ya mtoto. Mtoto ni zaidi ya thamani ya vitu ulivyonavyo ndani...
Tena wanawake ambao mmekutana na haya wala msifiche ukweli, Mwanaume akikimbia ujue mungu kakuepushia jambo.
WANAUME HEBU TOENI NA MBADILIKE NA HIZO IMANI AMBAZO SIO...
Swali lolote linakaribishwa... Asanteni
ww bwana ni mzigo kweli ww.
Sikijui unachokitetea
kupasha kiporo ipo...itifaki nimezingatia katika hili
Huu ujinga wa kuona watu wakizaa hawana faida upo sana Tanzania. Mimi nimeowa mwanamke ambae aliolewa na kuachika na nilimkuta ana Mtoto wa 4yrs. Now Mtoto ana 11 yrs. mpaka nikukwambie sio mwanangu au huwezi jua.
Kwetu walikuja na kila sababu. Wewe umesoma yeye hajasoma. Nikawaambia degree zipo tuu hizi. Nilimpekea college akamaliza Tumaini degree yake.
Ujinga na upotofu kuona mtu akizaa ni ukoma.
I have said this before and i will say it again, you don't have to insult someone just to prove a point. Wewe mama yake mleta mada amefikaje huku? Whether she's a product of a broken relationship/marriage or not tujifunze kutokuvuka mipaka ya watu jamani. Sikatai you probably have some scores to settle with her ila naomba yaishie kwake, involving someone's else parents isn't fair.
kuna watu waajabu sana
mkuu.
Yaan mwanamke kwa starehe zake na kiherehere chake na minyege yake akawa
anavuavua hovyo chupi huko kisa tu kaahidiwa chips kuku na soseji
hakujua kuwa kuna mimba? Hakujua kuna kuolewa? Leo amezalishwa huko
anataka et mm ndio nimuoe kudadek peleka kulekule alikokuwa anatanua
miguu alaaa! Nataman hata kuyazima makofi ningekuwa nawaona
aaaaghrrrr!
Pokea like x1000
wewe mwanafunzi nini siyo kila mwanamke anadanganywa na chips wacha kukariri.
Nimejisikia binaya kuona watu wanavowadis single mom especially ladies mh mnapata wapi hiyo nguvu?Hakuna mwanamke anaependa kuwa single mom ila initokea tu kumbuka uwezo wa kutoa hiyo mimba upo ila mtu hapendi kumkosea mungu tena so kwangu i salute them.
kwahyo unacholaum ww ni nini?
sikulaumu ndugu kwa sababu level yako ya kufikiria inaishia hapo so i've nothing to add. nice wkend bro..