Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Wewe ni mjinga wa mwisho kabisa kwa sababu hapo umesadiki pasi na msingi wowote ule kwamba mimi sijawahi kufika kwenye hizo nchi ulizozitaja. Hujui nimefika wapi na wapi hapa duniani kwa hiyo acha kuandika kana kwamba unajua. Hujui.
Kwa hiyo?
Hujui ninapoishi. Kaa kimya. Fukufuku wee.
nakubali mimi ni mjinga wa mwisho kwa sababu mjinga wa kwanza ndio mjinga zaidi ambaye ni wewe.
pili sina haja ya kujuwa unapoishi hainisaidii, ungefika hata siku moja Japan usingekuwa na akili za kitumwa hizi.
sasa ndio nimeamini kauli ya waziri mkuu wa Japan kuhusu kushuka kwa iq ya wamarekani inatokana na kuchanganyana na half baked kama nyinyi.