TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,167
Ehe, Miss judith na kwalika kwenye maombi jioni yaleo
naamini atanijibu leo!
Mmmh! Single and Desperate!
Ehe, Miss judith na kwalika kwenye maombi jioni yaleo
naamini atanijibu leo!
Kwenye hayo maombi...umwombe yeye akuto u-singleEhe, Miss judith na kwalika kwenye maombi jioni yaleo
naamini atanijibu leo!
Hadi mwaka unaisha nashikilia hii identity
mwaka 2011 nataka kuachana nayo
wana jf naomba mnipe experience ya huko niendako
pia nakaribisha maombi kwa wale opp sex walio single twaweza fanya njia
Ashaomba huyu dada Judy!!, Kumsaidia ni kama hivi wewe, kama ushaolewa, umtafutie dada mdogo, kama huna dada, umtafutie rafikio, Ashapita kuomba mwenyezi, kalameni sasa yuko uwanjani.... "Bisha Hodi utafunguliwa...." mungu atuambia. Kina DADA msaidieni Msela hapo, ataka jikoooooooo!!!!!!
Ashaomba huyu dada Judy!!, Kumsaidia ni kama hivi wewe, kama ushaolewa, umtafutie dada mdogo, kama huna dada, umtafutie rafikio, Ashapita kuomba mwenyezi, kalameni sasa yuko uwanjani.... "Bisha Hodi utafunguliwa...." mungu atuambia. Kina DADA msaidieni Msela hapo, ataka jikoooooooo!!!!!!
Ehe, Miss judith na kwalika kwenye maombi jioni yaleo
naamini atanijibu leo!
dah poa haina kwere nilijua shori
mi ngoja nikomae na rose
kama kamshirikisha mungu ni bizuri. Anapswa kuwa na subira tu mungu hujibu kwa wakati na majira yake
nashukuru mpendwa, nami nafungua kamabi ya maongi hapa kwa ajili yako na yangu na kwa ajili ya dunia nzima
kama kamshirikisha Mungu ni bizuri. anapswa kuwa na subira tu Mungu hujibu kwa wakati na majira yake
nashukuru mpendwa, nami nafungua kamabi ya maongi hapa kwa ajili yako na yangu na kwa ajili ya dunia nzima
Mwaga sifa zako ili zinazowavutia wajitokeze!
Ni MTZ
Mrefu
Mweusi
Muumini wa kawaida
Mchapa kazi(tractor la familia)
Living single
Hapo Mkuu lazima wachape lapa faster coz kumfanya mwanamke as tractor la familia dahhhh! hii noma sana mkuuu! anyway labda akina MOYO MPWEKE UTAWAONA WANAKUJA KUJISHEBEDUA KWAKO MKUU!!!
]
Ni MTZ
Mrefu
Mweusi
Muumini wa kawaida
Mchapa kazi(tractor la familia)
Living single
Hapo Mkuu lazima wachape lapa faster coz kumfanya mwanamke as tractor la familia dahhhh! hii noma sana mkuuu! anyway labda akina MOYO MPWEKE UTAWAONA WANAKUJA KUJISHEBEDUA KWAKO MKUU!!!
]
Hizi ni sifa zangu mkuu, kwa uchapa kazi wangu wameninick name hivyo
Si kama natafuta mwanamke awe tractor nop!
Kweli dont judge a book by its cover, hicho kivazi miss judith nilikupeleka kwingineee,
kumbe dada wewe ni mcha mungu..,!
Nashukuru kwa kunisaidia kwa maombi katika hili..
Mhmhmh hapo sasa Miss unakosea , we si unajua jinsi gani mi nalalamika kwa vile nilivyotendwa na bidada! Hivyo akili yangu ilikuwa nianze kufunga NOVENA ili kambi ihamie kwako sasa kwa utaratibu huu mbona unaanza kunitia hofu! Nitafanikiwa kweli ? Maana mhmh usije fanya kweli halafu mie nikakakusikia tu hapo itakuwa maumivu mara mbili
Nataka jiko
Hhahahahha, Mkuuu umenichekesha sana!!! Yaani umeamua kula winga faster!!! na kumkumbuka Rose wako?? Sasa Rose akijua ulitaka kucheat naye si atakumwaga mkuu??? kuwa makini sana!!