Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

maarufu kwa lipi hasa????mana hakuna ambacho kafanya utasema anapita mbele kuongea kafanya na wananchi wamkubali

tuambie kwanza Nchemba,JANUARY ,MAKALA,ZUNGU NA KEBWE wa magamba wao majimbo yao wananchi wanaishi vizuri eeeee.magamba bwana taaabu
 
huwa ndo hapo nachokaga na chadema..kuna kijiji kuna mradi wa tasaf ... Wananchi jukumu lao lilikuwa kusaidi kusomba mawe kuweka kwenye lori ..wamekuja chadema wanawambia sio nyukumu lao kufanya hivyo ni serikalii...lakini sera ya tasafa wananchi wanapaswa kuchangia nguvu zao katika sehemu ya mradi lengo kuwafanya waone kuwa ile ni mali yao...wananchi waliposikia hilo ukweli walishanga sana na kuona cdm chama cha ajabu sana, kwanza wamezoea kushiriki katika shughuli za maendeleo ya kijiji..ukweli waliwazomea wale viongozi tena sana...
Mimi nachoka na CCM haswa pale Ikulu na baadhi ya viongozi wa sekretariati ya CCM wanapojiingiza kwenye biashara za nyara za serikali pembe za ndovu zinasafirishwa na meli za Katibu mkuu anayekaa kwenye CC ya CCM ambayo mwenyekiti wake ni Jakaya kikwete anayeshindwa kumkamata na kutaifiha meli zake kwa manufaa ya umma Mwenyekiti wa CCM angechukua hatua angezua hao tembo 800 waliouliwa kwa mwezi au hizo fedha zingetaifishwa leo Singida magharibi wasingekunywa maji mekundi kwenye visima
 
kabla hajajiuzulu angetuambia vijana wa wilaya ya IKUNGI watapata wapi pesa za kuchangia miradi ya maendeleo wakati kazi hakuna? Huyo diwani kashanunuliwa ''NJAU''

Subirini uchaguzi muwalize ccm wanachangisha wananchi masikini halafu wanaacha mafisadi yanaficha fedha uswiss huyo diwani kama kweli kajiuzuru kwasababu hiyo ni zoba, na amenunuliwa!
 
Kila mwezi anapokelewa diwani mmoja toka ccm hadi 2014 na mbowe,slaa,wenje,lema wote watarudi ccm... Yetu macho
 
Kila mwezi anapokelewa diwani mmoja toka ccm hadi 2014 na mbowe,slaa,wenje,lema wote watarudi ccm... Yetu macho
Mwongo mkubwa kama umevimbiwa viazi kajitapishe dont play fool
 
Yani utabiri wa wasira taratibu unaelekea timia..
 
mwongo mkubwa kama umevimbiwa viazi kajitapishe dont play fool

ha ha povu litakutoka sana lakini huo ndo ukweli.... Mungu akupe uhai tu uje ushuhudie mwisho wa chadema
 
ha ha povu litakutoka sana lakini huo ndo ukweli.... Mungu akupe uhai tu uje ushuhudie mwisho wa chadema

unageuza kibao unayetoka povu ni wewe unayengojea mkono undondoke CCM si chama tena ni genge la wafirisi nchi na siku zenu zinahesabika Mtwara wameanza kesho kanda ya ziwa baadaye nyanda za juu kusini mpaka mukome na wizi wenu
 
Mabillioni ya new sekretarieti ya maamba at work,after all kama ameona hiyo sera haiwezi amefanya vizuri kuondoka nawashuri na masalia aka PM7 wajiondoe kama diwani huyu tunaelezwa hapa.
Namshauri diwani huyo awahi CCM huko atakutana na utaratibu huo na ikitokea akashinda ndo aanze kuwapiga wananchi fedha za michango.maana kama kweli kajihudhuru kwa sababu hiyo basi anahangaishwa na njaa,lengo lake ni kuwapiga fedha za michango.
 
Kodi ya aina gani unayoizungumzia? Aidha kuchangia maendeleo sio lazima kulipia(cash), hata nguvu za mikono zinatosha!

kwa hiyo kwenye jimbo la Tundu Lisu wananchi hawalipi kodi, usiwe mpuuzi kiasi hicho hatakama unalipwa kwa upumbavu unaoandika shirikisha akili angalau kidogo hakuna mtanzania ambae halipi kodi labda mafisadi ndiyo yanatoa 100 halafu yana chukua 10000!!
 
maarufu kwa lipi hasa????mana hakuna ambacho kafanya utasema anapita mbele kuongea kafanya na wananchi wamkubali
mkuu hakuna alilofanya kivip? Wakati inasemekana anawazuia wananchi kuchanga michango? Je hilo nalo utasema hakuna chochote? Kweli za kuambiwa changanya na za kwako!
 
Well.,cjui unayoyaongea yanahusianaje na uzi ulioletwa. Tundu Augustino Mughwai Lissu ni mbunge wa Singida Mashariki.,Iseke ni kata iliyopo Singida Magharibi, jimbo lnaloongozwa na Missanga(CCM).. Kama unataka tuje na hoja za kuonesha maendeleo ambayo Lissu analeta Jimboni kwake,hebu anzisha uzi mwingine tafadhali...
mkuu waeleze magamba,maana fitina na majungu na uwongo ndo zao,eti diwani wa jimbo la lissu!! Jamani njia ya mwongo ni fupi!
 
1. Hayo ni maigizo yaliyoasisiwa na mafisadi wa CCM, hivi ukame wote ulioko Ihanja watu hawana chakula ili waishi then unawaambia wachangie maendeleo wakati wakinunua mafuta ya taa,kiberiti,kanga,mswaki na vitu vyote wanachangia VAT,wanachangia mwenge,wanachangia Elimu,maji n.k,
2. leo unawaabia hawa maskini wachangie maendeleo wakati mtoto wa mshua anamiliki petrol station kama 100 hiv na wajombaze wametajwa katika mabilioni ya Uswisi.
3. Hata mm mwajiriwa nalipia VAT katika umeme,maji,mshahara nao nalipia kodi,nikinywa bia nalipia VAT,na wakati huo huo natakiwa nichangie eti maendeleo!!!!!!!!!!!.Hizo kodi zote zinztumikaje????????????.
4. Wananchi wamefumbuliwa macho sasa wamebaini kuwa nchi ya Tanganyika yenye umri wa miaka 51 tangu uhuru ni nchi yenye asali,maziwa,dhahabu,gesi,tanzanite,twiga wengi mpaka wengine wanapanda ndege.
5. Watanganyika 85% wanaishi katika matembe,vichuguu,mbavu za mbwa,misonge,nk then unawaambia wachangie maendeleo huu ni upuuzi na utombo wa kuku.
6. Watanganyika wengine waliohoji matumizi ya serikali waliambiwa,wale nyasi ili ndege ya mjomba inunuliwe,wengine waliambiwa wapige mbizi,wengine waliambiwa wana wivu wa kike,mabinti waliopata mimba shuleni waliambiwa wanaviherehere,wengine wakaambiwa waende motoni,kuzimu (go to hell).

tumekuelewa tindu mnyaturu
 
kwa hiyo wananchi wanajiandaa kumchagua diwani anayehamasisha wachangishwe michango? Ama kweli akili ni Mali.

Alitegemea labda akiwa diwani atakula kwa ubua pesa ambazo wangechangishwa masikini. Alidhani CDM wangefanya kama Magamba wanavyofanya akajikuta ameula wa chuya. Aende huko huko kwa wezi wenzake maana wanazidi tu kusafirisha makontena ya meno ya tembo Msomali wao ambae hana uchungu na nchi aliyozawadiwa na wajinga.
 
Wenye mawazo finyu ni nyie!
Poleni sana, naona sasa hivi madiwani wanawakimbia tu, mwakani tutaanza kuona wimbi la wabunge wakiamia CCM!
Nyie vidagaa mtahamia kwenye sanduku la kura mkiipigia CCM!
hata vitani ukiona askari wazembe wanaanza kukimbia,ujue ushindi unakaribia!
 
Back
Top Bottom