Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,086
Wenye mawazo finyu ni nyie!Rejao; Pole sana kwa mawazo finyu lakini ni ya kibinadamu!
Poleni sana, naona sasa hivi madiwani wanawakimbia tu, mwakani tutaanza kuona wimbi la wabunge wakiamia CCM!
Nyie vidagaa mtahamia kwenye sanduku la kura mkiipigia CCM!
Last edited by a moderator: