Singida: Ajali ya Bus la Takbiir

Singida: Ajali ya Bus la Takbiir

Ni ajali imetokea pale Mgori njiapanda ya Igunga-Kiomboi.

Basi la Ally's coach limegongana na Canter.

Tumeipita hapo saa tisa mchana tunaelekea Shinyanga.
Mbona picha za basi ni takbiir na wewe unasema ally's
 
Ni habari njema lakini ulitakiwa uweke Tarifa ya awali Aina ya magali Vifo na Nk ,Sasa umeandika tunaelewa nini
Nikionacho alikuwa anakimbilia kuandika dereva wa fuso ni nduguye
 
Yes dear. Lakini sijasema kwenye ndege hupati ajali. Ila ukifanya risk assessment kwenye gari risk ni kubwa kuliko kwenye ndege. Ndio ilikuwa point yangu.
Ndege ikipata hitilafu wote mnakua mizoga. Basi likipata ajali (kama hapo juu) wanakufa watatu, arobaini na saba wanapona.
 
Ndege ikipata hitilafu wote mnakua mizoga. Basi likipata ajali (kama hapo juu) wanakufa watatu, arobaini na saba wanapona.
Kipi ni likely kupata ajali kiurahisi? Without a doubt ni gari. So still risk ya kupanda gari ni kubwa sana kuliko ndege.
 
Kada mwandamizi najua unapitia kipindi kigumu lakini jua haya yote ni maisha nasote ni wake, unapata ulichoadikiwa hakupi kama hataki!?,🙏🙏
 
Back
Top Bottom