Priscallia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2019
- 496
- 2,456
Kwa jinsi ajali ilivyo naona kuna LWANDA MAGERE mwingine alijaza kibuyu damu, so siku ya leo amevuna pesa kama zote hatari sana hii Mungu awaponye majeruhi wote na waliofariki wapumzike kwa amani.
Angalia hiyo video iliyotumwa humu,halafu useme ni pasi ya umeme au ya mkaaPasi hiyo wewe. ingekua head-to-head basi lingepondeka kwa mbele
Sidhani kama una leseni. Hilo basi liko upande sahihi kabisa sema mara baada ya ajali ndio imepoteza direction hiyo.Poleni wahanga wa ajari hii. Inaonekana bus limehama kutoka kushoto kuja kulia upande wa lori wakapigana pasi. Poleni sana, madereva chukueni tafadhari.
kafala ya ng'ombe hela yake sio nyingi yale mavitu yanataka damu ya binadamu alafu binadamu hatuwezi kuisha manake kila siku watu wanachakatana so wanazaliwa watu kila siku na kila siku watu wanakufa ni nature mkuusasa unatoa kafara wenzio uwe tajiri, huo utajiri una maana gani sasa...kama wote tutaamua kutoa kafara binadamu wenyewe si wataisha sasa.... kwanini wasiwe wanatoa kafara ya mbuzi na ngo'mbe watu wanachoma nyama na bia....