Singida: Ajali ya Bus la Takbiir

Singida: Ajali ya Bus la Takbiir

Yes dear. Lakini sijasema kwenye ndege hupati ajali. Ila ukifanya risk assessment kwenye gari risk ni kubwa kuliko kwenye ndege. Ndio ilikuwa point yangu.
Inategemea bahati yako ipoje regardless of the extent ya risk.
Road transport is more riskier than air transport lakini sometimes haya mambo kama betting tu.
 
Uandishi wa habari usio wa kitaaluma, ajali imetokea singida wapi? Singida ni kubwa
 
Kuna nyingin nimeiona ya lorry meacha njia Sijui imegonga nini mafriji na vitu kibao watu wanajisevia ni nyuma ya igunga muda Sio mrefu matrafik wamefik lakini vitu vingine wananzengo wamepiga. Nipo kwenye kisbo naelekea kahama niombeeni nami najiombea dua ya wengi ina sauti Kubwa Mungu ataisikia.
 
Inategemea bahati yako ipoje regardless of the risk.
Road transport is more riskier than air transport lakini sometimes haya mambo kama betting tu.
Yes i know. But the probability of an accident happening ukiwa unatumia road transport ni kubwa kuliko air transport. Sababu zipo wazi.

1. Muda unaotumika katika safari (relationship ya distance na time)
2. Miundombinu (barabara mbovu).
3. Watumiaji barabara wengine.
4. Wear and tear

Risk ni kubwa sana by road.
 
Poleni wahanga wa ajari hii. Inaonekana bus limehama kutoka kushoto kuja kulia upande wa lori wakapigana pasi. Poleni sana, madereva chukueni tafadhari.
Head to head hiyo,sio pasi, hapo vifo lazima viwepo vya kutosha tu.ajali mbaya sana hii.
 
Yes i know. But the probability of an accident happening ukiwa unatumia road transport ni kubwa kuliko air transport. Sababu zipo wazi.

1. Muda unaotumika katika safari (relationship ya distance na time)
2. Miundombinu (barabara mbovu).
3. Watumiaji barabara wengine.
4. Wear and tear

Risk ni kubwa sana by road.
Yote katika yote ni kuomba Mungu tu.
 
Back
Top Bottom