msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,840
- 6,148
Manji alifanyaje mkuu.??wajiongeze, wafanye kama alivyofanya manji.
Manji alifanyaje mkuu.??wajiongeze, wafanye kama alivyofanya manji.
Manji alifanyaje mkuu.??
MkuuAcha Tuone
Serikali Ina Nguvu SanaMkuu
Alisema 'puto' lime expire !Ruge anavyozidi kukonda Rosary utasema imetundikwa kwenyee muanzi,Singasinga kitambi kinazidi kurudi kilipotoka.
Labda watupeleke MIGA !Inamaana hao wakiachiwa inabidi tuwalipe?? Mbona tutafilisika?
NiPinda na uoga wake ! Mbona wamenyooka kama basmat !JK alionya. Hawa watu mkiwagusa nchi itayumba...
Ilimsaidie nini wakati wakitumbua pesa na kuhonga serikali kwa pesa za hila na dhulma !?Imekusaidia nini wao wakiteseka acha roho ya kichawi
Bentley atafugia kuku !Kwa style ile ruge na Seth lazima wakubali makubaliano yoyote ili wawe nje!
Ule mpelampela waliyokutana nalo hawato usahau?
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
kati ya kauli za kishenziqmbazo sizipendi ni pamojana hii..yaani unamkamata mtu hafu unashindwa kumdhibiti ukija kumwachia unasema.nimemshindwa ila nimemkomesha broo nakutoa moyo nikikupatia gepu
Soon mwisho lini Mkuu?watakuwa nje soon
Kuanzia KeshoWatoke
Chama chenu kinanajisi taifa. Jiandaeni.Watoke