Singh Seth na Rugemarila kuachiwa?

Singh Seth na Rugemarila kuachiwa?

Kungekua hakuna burn humu ningeongea kitu,,,lakini ngoja nigonge zangu munde mm nikavimbe zangu niote America
 
Ukitaka kuwafunga Rughe na Seth basi ni lazima pia uwafunge na waliodhinisha hizo fedha zitoke Benki Kuu na maadam waliodhinisha hizo fedha zitoke hawatakiwi kuguswa, ni wazi hapo hamna kesi na kuwashitaki zilikuwa ni mbwembwe tu za kutafuta sifa za kisiasa.
 
Habari ya kunishtua kidogo ni kwamba magwiji matycoon, watakuwa nje soon , ama kwa dhamana au kwa makubaliano maalumu,

Nadhani hawakupaswa watoke maana Magufuli alionesha uthubutu wa kuwaweka ndani, mpaka mzee Rugemalila ukimuangalia huwezi kumjua, Sing ndo kitambi chake kimeisha kabisa,

Naambiwa kutokana na IPTL kuwashinda Tanesco ni nguvu kwa Kina Rugemalila na Singh Seth,

Ukirejea matamshi ya Jakaya kikwete ambaye amekuwa waziri wa nishati na madini kipindi mkataba uo unasainiwa alafu akawa Rais, na kusema kwamba Hela za Escrow si zetu ni za kina Rugemalila na Seth kuna mengi alikuwa kayaona,

Ngoja nione kama itakuwa kweli watatoka, maana aliyeniuma sikio si wa mchezo

Hapa wala sipepesi macho, simung'unyi maneno wala sitikisi masikio bila kusahau siwi Mnafiki pia kwamba kama kuna Watu ambao wamewadharau na kuwadhihaki Watanzania kipindi walichokuwa na Jeuri ya Fedha hapa nchini Tanzania basi ni hawa akina Seth na Rugemalira. Kwa Rugemalira na Jeuri zake pamoja na Mkewe Kipindi hicho nawaachia Wakazi wa Changanyikeni na Waumini wa lile Kanisa la Katoliki najua watakuwa wananielewa vyema tu. Huyo Seth ndiyo usiseme kabisa. Wakiendelea kukaa huko ' Lupango ' walipo sasa hata kwa miaka 100 ijayo nitaipongeza mno kama siyo sana Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Sijui kwanini nimeikumbuka Shawshank Redemption?


Sent from my SM using Tapatalk
 
IPTL kuwashinda Tanesco ni nguvu kwa Kina Rugemalila na Singh Seth,
IPTL iliyoshinda TANESCO ni ipi? Hii ya akina Rugemalira na Singh Sethi au Mechma na Stan Chart HKG? Unatakiwa kuielewa mantiki ya kuwaanchia iwapo Serikali itafanya hivyo. Itakuwa ni makubaliano na serikali kuwataka wafungue kesi ya kugombea IPTL dhidi ya Stan Chart HGK. Kuna kosa la kisheria kwa mtambo wa IPTL kuwekwa dhamana katika mkopo ambao Stan Chart HGK iliutoa kwa Mechma bila kushirikisha Rugemalira. Kisha kuna madai ya Sethi Singh kuwa ana miliki hisa na ana nakala halisi za hisa za IPTL. Kwa njia hii Serikali itakuwa imeamua kuwatumia hawa wawili on condition ya kuwaachia ila wao watumike kama mbwa wa msasi kukamata mnyama. Unatakiwa kujua masuala haya bila ushabiki wa akina nyumbu!
 
Kwa style ile ruge na Seth lazima wakubali makubaliano yoyote ili wawe nje!
Ule mpelampela waliyokutana nalo hawato usahau?

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwann kila anacho jaribu jiwe chenye harufu ya kisheria ndani yake anaishia kupigwa na kitu kizito kichwani puuuu na hasara juu[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom