Singh Seth na Rugemarila kuachiwa?

Singh Seth na Rugemarila kuachiwa?

Impact yake imedondokea kwenye issue ya IPTL vs TANESCO, na itatupiga vibaya kama nchi, tena sana. Sidhani kama Jamhuri ilifanya sahihi kuwaweka ndani Ruge na Seth (Pia Yusuph Manji). Kulikua na njia nyingi mbadala za kufikia settlement.

Ruge na Seth, Serekali ingekaa nao na kufanya arbitration to reach amicable agreement yasingetokea haya ya IPTL na mengine. Kwanza kwa muda waliowekwa ndani mpaka sasa "wameshaficha na kuchafua ushahidi wote duniani". Japo mawakili wa serekali wameweza kuzuia wasisafiri nje ya nchi hata kwa matibabu, wasionane hata na wake zao na madaktari wao, ila kwa mwenye akili atajua wameshachafua ushahidi zamani, sasa hivi wanamalizia kuziba mashimo tu, ITS TOO LATE.

1) Utakuta kila siku usiku wataalamu wa ushahidi na wafuasi wa hao jamaa wanaingizwa gerezani kimya kimya kuonana nao na kupanga mikakati ila raia na jamhuri haijui.

2) Kama Serekali ilivyokua na uthubutu wa kuwaweka ndani, nao wana uthubutu kwenye baadhi ya ma bank makubwa duniani na makampuni makubwa pia, hizo bank zinauwezo hata wa kufuta transaction za account zao/ financial statement zao n.k. (We should learn to think).

3) Kama watashinda case zao, wanauwezo wa kuishtaki serekali kwa MALICIOUS PROSECUTION (kushitakiwa kwa makusudi/kushitakiwa kwa nia ovu) na wanaweza kudai fidia ndefu sana. Fidia wanayoweza kuadai itajumlisha madhara waliopata kibiashara/afya/muda waliokaa ndani/kuchafuliwa jina/madhara kisaikolojia waliopata/gharama za kuendesha case kutumia mawakili wa ndani na nje ya nchi n.k

Wakati mwingine, kama mtu una uelewa mzuri/timamu swala la kuonesha umma au nchi kwamba una uthubuti kwa maadui zako wala sio muhimu, na halina faida/tija bali lina hasara. (Kwa wachache ambao hawana uelewa hua wanashangilia hili jambo kwa uchochezi wa dini, rangi, kabila, pia uwezo wa pesa/umaskini).

Nachofahamu ADUI yako hata kama ni dhaifu vipi, akikukamata pabaya we kua mdogo na mshike mkono mwende nyuma ya pazia mkayamalize. Ila ukimuonesha jeuri halafu akapata watu wa kumshika maskio vizuri, umeumia.

Pia ninacho kiona hizi case zote kubwa, either za matajiri au watu wenye majina yao (kama vile Tido Mhando) jamhuri ina kazi nzito ili ishinde, wengi wanapelekwa mahakamani kwa kurupuka tu.
Wameanza kikiri kosa na kuomba msamaha... Una ushauri mwingine?
 
walipowekwa ndani tuliwatetea wanaonewa.
Habari za kutoka nazo ni mbaya Taifa litapata hasara nk.

Shida nn wabongo?
Habari ya kunishtua kidogo ni kwamba magwiji matycoon, watakuwa nje soon , ama kwa dhamana au kwa makubaliano maalumu,

Nadhani hawakupaswa watoke maana Magufuli alionesha uthubutu wa kuwaweka ndani, mpaka mzee Rugemalila ukimuangalia huwezi kumjua, Sing ndo kitambi chake kimeisha kabisa,

Naambiwa kutokana na IPTL kuwashinda Tanesco ni nguvu kwa Kina Rugemalila na Singh Seth,

Ukirejea matamshi ya Jakaya kikwete ambaye amekuwa waziri wa nishati na madini kipindi mkataba uo unasainiwa alafu akawa Rais, na kusema kwamba Hela za Escrow si zetu ni za kina Rugemalila na Seth kuna mengi alikuwa kayaona,

Mdokezo
Itakuwa ni makubaliano na serikali kuwataka wafungue kesi ya kugombea IPTL dhidi ya Stan Chart HGK. Kuna kosa la kisheria kwa mtambo wa IPTL kuwekwa dhamana katika mkopo ambao Stan Chart HGK iliutoa kwa Mechma bila kushirikisha Rugemalira. Kisha kuna madai ya Sethi Singh kuwa ana miliki hisa na ana nakala halisi za hisa za IPTL. Kwa njia hii Serikali itakuwa imeamua kuwatumia hawa wawili on condition ya kuwachia ila wao watumike.

Ngoja nione kama itakuwa kweli watatoka, maana aliyeniuma sikio si wa mchezo
 
Habari ya kunishtua kidogo ni kwamba magwiji matycoon, watakuwa nje soon , ama kwa dhamana au kwa makubaliano maalumu,

Nadhani hawakupaswa watoke maana Magufuli alionesha uthubutu wa kuwaweka ndani, mpaka mzee Rugemalila ukimuangalia huwezi kumjua, Sing ndo kitambi chake kimeisha kabisa,

Naambiwa kutokana na IPTL kuwashinda Tanesco ni nguvu kwa Kina Rugemalila na Singh Seth,

Ukirejea matamshi ya Jakaya kikwete ambaye amekuwa waziri wa nishati na madini kipindi mkataba uo unasainiwa alafu akawa Rais, na kusema kwamba Hela za Escrow si zetu ni za kina Rugemalila na Seth kuna mengi alikuwa kayaona,

Mdokezo
Itakuwa ni makubaliano na serikali kuwataka wafungue kesi ya kugombea IPTL dhidi ya Stan Chart HGK. Kuna kosa la kisheria kwa mtambo wa IPTL kuwekwa dhamana katika mkopo ambao Stan Chart HGK iliutoa kwa Mechma bila kushirikisha Rugemalira. Kisha kuna madai ya Sethi Singh kuwa ana miliki hisa na ana nakala halisi za hisa za IPTL. Kwa njia hii Serikali itakuwa imeamua kuwatumia hawa wawili on condition ya kuwachia ila wao watumike.

Ngoja nione kama itakuwa kweli watatoka, maana aliyeniuma sikio si wa mchezo
 
Habari ya kunishtua kidogo ni kwamba magwiji matycoon, watakuwa nje soon , ama kwa dhamana au kwa makubaliano maalumu,

Nadhani hawakupaswa watoke maana Magufuli alionesha uthubutu wa kuwaweka ndani, mpaka mzee Rugemalila ukimuangalia huwezi kumjua, Sing ndo kitambi chake kimeisha kabisa,

Naambiwa kutokana na IPTL kuwashinda Tanesco ni nguvu kwa Kina Rugemalila na Singh Seth,

Ukirejea matamshi ya Jakaya kikwete ambaye amekuwa waziri wa nishati na madini kipindi mkataba uo unasainiwa alafu akawa Rais, na kusema kwamba Hela za Escrow si zetu ni za kina Rugemalila na Seth kuna mengi alikuwa kayaona,

Mdokezo
Itakuwa ni makubaliano na serikali kuwataka wafungue kesi ya kugombea IPTL dhidi ya Stan Chart HGK. Kuna kosa la kisheria kwa mtambo wa IPTL kuwekwa dhamana katika mkopo ambao Stan Chart HGK iliutoa kwa Mechma bila kushirikisha Rugemalira. Kisha kuna madai ya Sethi Singh kuwa ana miliki hisa na ana nakala halisi za hisa za IPTL. Kwa njia hii Serikali itakuwa imeamua kuwatumia hawa wawili on condition ya kuwachia ila wao watumike.

Ngoja nione kama itakuwa kweli watatoka, maana aliyeniuma sikio si wa mchezo
Pascal Mayalla Ruge anaenda kushtaki
 
Back
Top Bottom