Singapore in Pictures

Singapore in Pictures

jamani kuna watu wanajenga nchi zao duu!!! wapo imara sana
 
So, for a tanzanian parking your money here is not advised? Cause i see its most of Asian Trading Multinationals put their money here...

Of course anybody is welcomed to bank in Singapore. I'm just saying, many rich citizens of Indonesia, China and other Asian countries bank in Singapore as well as some multinationals doing business in the region.
 
Nchi kama hiyo unaweza kukuta kuna raia hajui kusoma??
 
Maisha mu ghali sana kule. Nilikuwa huko 2012 nikajuta, bora uswazi kwetu.

Inategemea. Unataka standard gani ya maisha.

Binafsi, umeme na kodi nalipa zaidi Tanzania kuliko Japan.

Kula baadhi ya sehemu Tanzania ni ghali kuliko Singapore au Japan. Steak ya mkaburu pale Rhapsody's ni ghali kuliko Tokyo au Singapore.

Unaweza kula kwa $5 Singapore au Tokyo ukipenda. Maduka ya 7-11 au supermarket ndiyo bei zao za chakula cha box au "obento" kwa Kijapani.

Japan mkopo wa benki ni $600 kwa mwezi kununua nyumba na unapewa miaka 25 kulipa. Huwezi kupata mkopo wa kiasi hichi na muda mrefu wa kulipa Tanzania.
 
Inategemea. Unataka standard gani ya maisha.

Binafsi, umeme na kodi nalipa zaidi Tanzania kuliko Japan.

Kula baadhi ya sehemu Tanzania ni ghali kuliko Singapore au Japan. Steak ya mkaburu pale Rhapsody's ni ghali kuliko Tokyo au Singapore.

Unaweza kula kwa $5 Singapore au Tokyo ukipenda. Maduka ya 7-11 au supermarket ndiyo bei zao za chakula cha box au "obento" kwa Kijapani.

Japan mkopo wa benki ni $600 kwa mwezi kununua nyumba na unapewa miaka 25 kulipa. Huwezi kupata mkopo wa kiasi hichi na muda mrefu wa kulipa Tanzania.

Kwa mtindo huu watanzania wote wangekuwa na mikopo bank. Sisi tumezoea ujanja ujanja mwingi ndo maana tunabanana na mikopo ya mwaka au maximum miaka 10.
 
Daah tukumbuke mwaka 65 uchumi wa Singapore ulikuwa sawa na wa Tanganyika. Lakini tumeachwa mbali sana
 
naskia wakati tunapata Uhuru 1961 tulikuwa nao sawa hao jamaa sijui over take walitupita wapi

ni story za kijiweni uongo mtupu!nakumbuka baba yangu wakti niko mdogo alisafiri akaenda huko akaja na raba nzuri sana zimetengenezwa huko!hata china kumbuka ukiwa mdogo vitu vingapi vilikuwa vinatoka china?hadi yale magari ya kubeba mkaa ya zamani mchina alikuwa anatengeneza kitambo!
 
Hilo wala si tatizo Mkuu hizi barabara zinakuwa na mabango ambayo yanasaidia kukuelekeza unapokwenda, na vitu kama mapquest na GPS receivers ambazo unaweza kuingiza address ya huko ueandako basi unateleza tu.

Aiseee! Maendeleo ya wengine utafikiri ndoto.Ma-flyover ya kufa mtu! Navyoona, tatizo lao kubwa ni:Ninataka kwenda point B, nitumie flyover zipi kufika haraka?
 
Singapore1.jpg


PIC-280-1361129164.jpg


singapore-cityscape-7032.jpg

wapia aliposema singapore ipo africa?...ivi uko madrassa mnaendaga kusomea ujuha?
 
Tutafika endapo tutaanza kuzivuna rasilimali wenyewe,njia nyingine zote ni porojo,mwekezaji awe ni yule anayeleta ambacho hakipo nchini wengine wote sio wawekezaji bali wachotaji
 
Back
Top Bottom