Aiseee! Maendeleo ya wengine utafikiri ndoto.Ma-flyover ya kufa mtu! Navyoona, tatizo lao kubwa ni:Ninataka kwenda point B, nitumie flyover zipi kufika haraka?
Aiseee! Maendeleo ya wengine utafikiri ndoto.Ma-flyover ya kufa mtu! Navyoona, tatizo lao kubwa ni:Ninataka kwenda point B, nitumie flyover zipi kufika haraka?
sanaa...mana nchi yangu ya ajabu kwel...wanaoish kweny mazngira mabovu ndio hawatak mabadiliko..mfano manzese..tandale.na uswaz kwingineko n CCM dam...acha nijiwekee theme Mungu anaweza kunifikiria cku moja
hivo ni visiwa kama zanzibar...bandari imewatowa sn....sehemu yoyoyte yenye visiwa ni rahisi kutumia bandari kupata maendeleo makubwa...zanzibar ingelikuwa km singapore kutokana na mazingira yake ya visiwa yalivyo mazuri lkn mpaka leo hamna kitu kutokana na kushikiiwa na ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.