Singapore in Pictures

Singapore in Pictures

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,109
Reaction score
53,626
curtin-singapore-skyline.jpg


cloud-forest.jpg


sindt_main01.jpg
 
asanteni kwa picha...mi nmezishusha ntaweka theme kweny PC yangu
 
Aiseee! Maendeleo ya wengine utafikiri ndoto.Ma-flyover ya kufa mtu! Navyoona, tatizo lao kubwa ni:Ninataka kwenda point B, nitumie flyover zipi kufika haraka?
 
Aiseee! Maendeleo ya wengine utafikiri ndoto.Ma-flyover ya kufa mtu! Navyoona, tatizo lao kubwa ni:Ninataka kwenda point B, nitumie flyover zipi kufika haraka?

Ukiwa mwenyeji wa huko utakuwa unajua bila shida...
Ni sawa na leo mtu ukisema unataka kwenda mbagala, kwahyo unajua njia ya kupitia..
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Zitapendeza sana

sanaa...mana nchi yangu ya ajabu kwel...wanaoish kweny mazngira mabovu ndio hawatak mabadiliko..mfano manzese..tandale.na uswaz kwingineko n CCM dam...acha nijiwekee theme Mungu anaweza kunifikiria cku moja
 
Singapore ni kuzuri sana. Ila kudogo.

Sheria kali: ukivuka barabara hovyo bila ya kusubiri taa, unalipa fine.
Chewing gum hairuhusiwi kuuzwa, inachafuwa mazingira.

Gharama za maisha ni karibu sawa na Japan.

Asilimia kubwa ni wenye asili ya Kichina, lakini pia wapo wa asili ya Kihindi (Tamil), Malaysia na Waarabu (Oman na Yemen).

ImageUploadedByJamiiForums1434881059.765433.jpg
Embe S$10. US$7.50

ImageUploadedByJamiiForums1434881170.281291.jpg
Msikiti wa Kihindi. Eneo la Little India

ImageUploadedByJamiiForums1434881395.828953.jpg
Msikiti wa Kiislaamu.

ImageUploadedByJamiiForums1434881842.991694.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434881614.445308.jpg
Eneo la Kiarabu

ImageUploadedByJamiiForums1434881967.208389.jpg

The Merlion (Sealion).

ImageUploadedByJamiiForums1434881756.459759.jpg
 
ndio maana kikwete kutwa kucha ughaibuni. kuzuri mno
 
naskia wakati tunapata Uhuru 1961 tulikuwa nao sawa hao jamaa sijui over take walitupita wapi
 
hivo ni visiwa kama zanzibar...bandari imewatowa sn....sehemu yoyoyte yenye visiwa ni rahisi kutumia bandari kupata maendeleo makubwa...zanzibar ingelikuwa km singapore kutokana na mazingira yake ya visiwa yalivyo mazuri lkn mpaka leo hamna kitu kutokana na kushikiiwa na ccm
 
Back
Top Bottom