nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Mwalimu Nyerere katika hotuba zake humueleza jamaa mmoja aliyejidai kuiweka serikali yake mfukoni jinsi alivyoshughulikiwa. Sasa jambo hili naona limejirudia kwa awamu hii kwa mtu anayeitwa billionea wa IPTL almaarufu Singa singa. Tumeona kwenye vyombo vya habari jinsi alivyaonza kuivimbia serikali na TRA yake juu ya ulipwaji wa kodi inayodaiwa alikwepa na kusema hawezi kuilipa.
Ameenda mbali na kudai kuwa yale maamuzi ya bunge ya kutaka kuitafisha mitambo ya IPTL ni jambo lisilowezekana. Huyu mtu kwa kwa kuwa ameisha toa rushwa kwa mfumo mzima wa nchi basi naona huyu jamaa kaiweka serikali mfukoni.
Nimuonea huruma sana Mwigulu Nchemba na kauli yake kama naibu waziri juu ya ulipwaji wa kodi huyu jamaa kwa kifupi hawamuwezi sababu serikali imeshakuwa serikali corrupt
UPDATES
Singa Singa tayari amefungua kesi mahakama kuu akiamuru bodi ya rufaa ya kodi imkamake na kumfuga jela kamishna mkuu wa TRA kwa madai ya kutakiwa kulipa kodi
UPDATES:
Leo rais atalihutubia taifa, je atawekwa mfukoni au atajitoa mfukoni? Kumbukeni IPTL wameshafungua shauri katika mahakama kuu la kuzuia utekelezaji wa maazimio ya bunge
Ameenda mbali na kudai kuwa yale maamuzi ya bunge ya kutaka kuitafisha mitambo ya IPTL ni jambo lisilowezekana. Huyu mtu kwa kwa kuwa ameisha toa rushwa kwa mfumo mzima wa nchi basi naona huyu jamaa kaiweka serikali mfukoni.
Nimuonea huruma sana Mwigulu Nchemba na kauli yake kama naibu waziri juu ya ulipwaji wa kodi huyu jamaa kwa kifupi hawamuwezi sababu serikali imeshakuwa serikali corrupt
UPDATES
Singa Singa tayari amefungua kesi mahakama kuu akiamuru bodi ya rufaa ya kodi imkamake na kumfuga jela kamishna mkuu wa TRA kwa madai ya kutakiwa kulipa kodi
UPDATES:
Leo rais atalihutubia taifa, je atawekwa mfukoni au atajitoa mfukoni? Kumbukeni IPTL wameshafungua shauri katika mahakama kuu la kuzuia utekelezaji wa maazimio ya bunge