Singa Singa ameiweka serikali ya Kikwete mfukoni

mleta mada ungesema hivi"singasinfa wa iptl amewapiga vi...d... l serikali yote ya jk"
 
CCM has killed this country. As we continue to suffer from the freeze of donor aid- our government is num over the allegations. This is a clear sign of a failed state!! Well done CCM!

Kinachosikitisha ni pale ambapo UHALIFU WA KISERIKALI UNAENDELEA, FEDHA ZA NCHI ZINAKWAPULIWA NA VIONGOZI WENYE DHAMANA YA KULINDA MALI HIZO HUKU: HALI YA WANANCHI IKO HOI TAABANI, HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIMEKUFA HAKUNA MSAADA KWA WANACHI, UNGOZI WA NCHI UNANUNULIWA KWA RUSHA, HAKI HAIPATIKANI TENA MAHAKANI, MIHIMILI YA DOLA HAIELEWANI 'AND YET' JESHI LETU LA ULINZI NA USALAMA LIMEKAA KIMYA LICHA YA KUAMINIWA PEKEE NA WANACHI WA NCHI HII.

ENDAPO IMANI HII ITATOWEKA BASI HAKUTAKUWA TENA NA MAUMAINI ITAKUWA KILA MTU NA LWAKE NA MACHAFUKO MAKUBWA YATATOKEA NA HAKUTAKUWA NA MTU WA KUYATULIZA. MUNGU EPUSHA HAYA!


OMBI: JESHI CHUKUA HATUA WANCHI WANAIMANI NA JESHI NA WATAUNGA MKONO 100%. HALI NI MBAYA SANA!! NCHI INAFILISIKA.

NGILENENGO1

 
Nukuu ya mameno ya Mwalimu kuhusu serikali corrupt.....

Serikali corrupt popote pale, haitozi kodi. Serikali corrupt inatumwa na wenye mali.
Inawafanyia kazi wenye mali. Serikali corrupt itamwambiaje mwenye mali, kwamba “utalipa, usipolipa utakiona!" Atacheka tu huyu.
Atakwambia“unaniambia hivyo wewe? kesho siji basi!”

Serikali corrupt haikusanyi kodi. Itabaki kufukuzana fukuzana na vijitu vidogo vidogo mabarabarani hivi basi.


Yametimia - maana hawa mafisadi wana uwezo wa hata kutuchagulia viongozi wetu ndani ya serikali.

Bila chenga
 
Kinachosikitisha ni pale ambapo UHALIFU WA KISERIKALI UNAENDELEA, FEDHA ZA NCHI ZINAKWAPULIWA NA VIONGOZI WENYE DHAMANA YA KULINDA MALI HIZO HUKU: HALI YA WANANCHI IKO HOI TAABANI, HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIMEKUFA HAKUNA MSAADA KWA WANACHI, UNGOZI WA NCHI UNANUNULIWA KWA RUSHA, HAKI HAIPATIKANI TENA MAHAKANI, MIHIMILI YA DOLA HAIELEWANI 'AND YET' JESHI LETU LA ULINZI NA USALAMA LIMEKAA KIMYA LICHA YA KUAMINIWA PEKEE NA WANACHI WA NCHI HII.

ENDAPO IMANI HII ITATOWEKA BASI HAKUTAKUWA TENA NA MAUMAINI ITAKUWA KILA MTU NA LWAKE NA MACHAFUKO MAKUBWA YATATOKEA NA HAKUTAKUWA NA MTU WA KUYATULIZA. MUNGU EPUSHA HAYA!


OMBI: JESHI CHUKUA HATUA WANCHI WANAIMANI NA JESHI NA WATAUNGA MKONO 100%. HALI NI MBAYA SANA!! NCHI INAFILISIKA.

NGILENENGO1


Eeeh, mkuu!! Wazigua wanasema CHITENDE ZEZEE? (Tufanye nini masikini siye?)
 
Lets take a simple example. Thamani ya shillingi yetu imaporomoka zaidi ya tzs 150 since the start of the year and 90 since sept. We can say this is partly contributed by the stronger dollar globally. BUT THE MAIN CAUSE IS: DONOR FUNDING. If the government was committed to helping its citizens they would had resolved the iptl issue immediately. But unfortunately, the government is still dragging its feet.

we are very unfortunate to have such an irresponsible government.

Bless us!
 
Tena kaiweka kwenye mfuko wa shati ili iwe rahisi Kila anapohitaji kuitumia asipate tabu kupekua kwenye mfuko wa suruali....... Hii Nchi imekuwa laini sana kwa wezi,Naungana na wanaorudia msemo wa Mwalimu kuwa Serikali corrupt inaburuzwa na watu wachafu........ JK tazama Nyumba yako.

JK atazame nyumba yake? Nyumba ipi? Labda Sehemu ya Marekani anakoshinda na kutibiwa mafua na tezi dume. Kila kinachoendelea TZ hana habari nacho. Ofisini hakai na kusoma nyaraka za hali ya nchi yake! Muda ataupata wapi wa kuangalia nyumba yake!!! Ubishoo wa suti na vicheko amwachie nani?
 
Kishamwaga mapesa mpaka kwenye familia ya Kikwete, DHAIFU hawezi kufurukuta. Tunaongoza Afrika kwa rushwa.
 
Wa shati, unapuliza tu unawapanga unavyotaka. Chezea Harbinder

Siyo kwenye brief case yake?Maana akiamua anawatoa na kuwafungia.Tena mbaya zaidi ameweka waki zao humo na siyo wao wenyewe.
 
Siyo kwenye brief case yake?Maana akiamua anawatoa na kuwafungia.Tena mbaya zaidi ameweka waki zao humo na siyo wao wenyewe.

Briefcase mbali kaka, mfuko wake wa shati tu unatosha kujaza serikali nzima + wakezo + koo zao+ nyumba kuubwa na ndogoo makila kitu.
Hii ni serikali inayoendeshwa kwa rushwa na hakika lazima ianguke
 
Kishamwaga mapesa mpaka kwenye familia ya Kikwete, DHAIFU hawezi kufurukuta. Tunaongoza Afrika kwa rushwa.

Yale yale aliyosema JKN kwamba Ukiona mtu anakupa chupa na akakudanganya kwamba ni almasi na wewe ukazikubali ukatoa dhahabu yako kwa dhamani ya chupa,na ukawa unachekelea eti umepata almasi.........basi ni lazima uwe zaidi ya MPUMBAVU ndiyo viongozi wetu leo.

Kaja Sethi,kahonga watumishi wa serikali,kajifanya Mhehe,akaenda mbali zaidi kujifanya ni milionea kumbe yuko mufilisi,kawapa vichupa viongozi wetu wamebaki wakijichesha,na ameondokana dhahabu,wadanganyika tumebaki tukiduwaa na mbaya zaidi wadanganyika wenzetu wanadhanikuduwaa kwetu ni kwa sababu tunawapenda wathungu,na wao Sethi ni MZALENDO!

Najiuliza MZALENDO ataliibia TAIFA lake?Tumebaki tumegawanywa kama ndizi,au vitunguu.Watanzania wenzangu tukijakuamka hatuna mahali hata pakuweka miguu yetu,Tuamke basi,TAIFA letu sote na si la wawekezaji,LA KWETU SISI WATANZANIA:sick::sick::confused2:
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Briefcase mbali kaka, mfuko wake wa shati tu unatosha kujaza serikali nzima + wakezo + koo zao+ nyumba kuubwa na ndogoo makila kitu.
Hii ni serikali inayoendeshwa kwa rushwa na hakika lazima ianguke

Ndiyo tumekwisha,tumepaki AKILI kwenye CHUPA ya Singasinga tumebakiza MAKALIO
 
Serikali corrupt itamwambiaje mwenye mali, kwamba “utalipa, usipolipa utakiona!" Atacheka tu huyu. Atakwambia“unaniambia hivyo wewe? kesho siji basi!”.

RIP JK Nyerere. Hatutakaa tupate kichwa kingine kama hiki. JK Nyerere alikuwa anaona mbali mno
 
kumbeee bestito upo huku nimekumisije

aiseeeeeeeeee
Mwalimu Nyerere katika hotuba zake humueleza jamaa mmoja aliyejidai kuiweka serikali yake mfukoni jinsi alivyoshughulikiwa. Sasa jambo hili naona limejirudia kwa awamu hii kwa mtu anayeitwa billionea wa IPTL almaarufu Singa singa. Tumeona kwenye vyombo vya habari jinsi alivyaonza kuivimbia serikali na TRA yake juu ya ulipwaji wa kodi inayodaiwa alikwepa na kusema hawezi kuilipa.

Ameenda mbali na kudai kuwa yale maamuzi ya bunge ya kutaka kuitafisha mitambo ya IPTL ni jambo lisilowezekana. Huyu mtu kwa kwa kuwa ameisha toa rushwa kwa mfumo mzima wa nchi basi naona huyu jamaa kaiweka serikali mfukoni.

Nimuonea huruma sana Mwigulu Nchemba na kauli yake kama naibu waziri juu ya ulipwaji wa kodi huyu jamaa kwa kifupi hawamuwezi sababu serikali imeshakuwa serikali corrupt
 
Watawala wasiojotambua ndiyo wamelifikisha taifa hapa.
Tiwa mfukoni

Tatizo letu tuna viongozi ambao wako kimaslahi zaidi.Wamesahau Taifa lao,wamefanya Taifa lao kuwa ni MAKABURI ya wao kuzikiwa tu,na si kuishi.Hawa ndiyo viongozi wetu.

Hawapendi tuchague viongozi waadilifu ndiyo maana wanatumia vigezo vya kipumbavu kuwanyima uhuru wapinzani wasichaguliwe,Ni aibu kubwa.
 
Back
Top Bottom