Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,508
- 6,888
Wakati Tundu Lissu anachangia saga hili pale bungeni na hasa alipokua anaeleza historia ya IPTL na uhusiano wake na JK and then yule mam wa Kimbulu Mary Nagu alivyokua ana m inter fear Tundu na hawa mawaziri kugoma kujiuzuru basi nikajua ngoma imeisha, hakuna ambacho kitatokea hata JK akirudi; hisia zangu zimekamilika. Source ya hi kitu ni mkuu wa kaya so tusitegemee chochote toka kwenye hi serikali ya ccm.
Jambo pekee ambalo Watanzania tunaloweza kulifanya Watanzania ni kuikataaa ccm na mambo yake yote, ninamwomba Mungu pia wafadhili wakomae hadi mwisho wasitoe chochote kama msaada ili mishahara ikosekane kwa wafanyakazi wa serikali ili tuheshimiane; namwomba sana Mungu hilo litimie cause kama madawa ndio hayo hayapo mahospitalini na wakulima ndio hao tumeona mazao yao yanaharibika huko kwenye maghala yao.
Jambo pekee ambalo Watanzania tunaloweza kulifanya Watanzania ni kuikataaa ccm na mambo yake yote, ninamwomba Mungu pia wafadhili wakomae hadi mwisho wasitoe chochote kama msaada ili mishahara ikosekane kwa wafanyakazi wa serikali ili tuheshimiane; namwomba sana Mungu hilo litimie cause kama madawa ndio hayo hayapo mahospitalini na wakulima ndio hao tumeona mazao yao yanaharibika huko kwenye maghala yao.