Singa Singa ameiweka serikali ya Kikwete mfukoni

Singa Singa ameiweka serikali ya Kikwete mfukoni

Nyerere(Baba wa taifa la Tanzania) na familia yake wanaheshimika kwa kuheshimu mali ya watanzania na kutocheka na Mafisadi pamoja na Ufisadi.

Naam, Nyerere ana heshimika lakini siasa yake ya Ujamaa imekufa na haifatwi tena kwa hiyo hakuna kutaifishana.

Alipotaifisha hii nchi iliingia kwenye dhiki na umasikini wa hali ya juu, kabla ya kutaifisha kwake ilikuwa nchi ya kwanza katika Afrika inayosafirisha mazao ya shambani nje, baada ya kutaifisha tukawa omba omba hata wa chakula tukawa masikini wa mwisho duniani. Hilo kumbuka.

Au haukuwepo wakati wa utawaa wake na unasikia hadithi tu za kuhadithiwa? nakushauri kama ulikuwa haupo, AlhamduliLllah tungali hai tuliokuwepo, uliza kulikuwaje upate ukweli.

Kikwete pia anamheshimu sana Nyerere lakini juzi kasema live, sasa hivi hatuna siasa ya ujamaa, siasa ya ujamaa Tanzania hii ilikuwa ni ya nani zaidi ya Nyerere?
 
Mkuu badilisha thread yako wino uliotumia tunaumizana macho.
 
Naam, Nyerere ana heshimika lakini siasa yake ya Ujamaa imekufa na haifatwi tena kwa hiyo hakuna kutaifishana.

Alipotaifisha hii nchi iliingia kwenye dhiki na umasikini wa hali ya juu, kabla ya kutaifisha kwake ilikuwa nchi ya kwanza katika Afrika inayosafirisha mazao ya shambani nje, baada ya kutaifisha tukawa omba omba hata wa chakula tukawa masikini wa mwisho duniani. Hilo kumbuka.

Au haukuwepo wakati wa utawaa wake na unasikia hadithi tu za kuhadithiwa? nakushauri kama ulikuwa haupo, AlhamduliLllah tungali hai tuliokuwepo, uliza kulikuwaje upate ukweli.

Kikwete pia anamheshimu sana Nyerere lakini juzi kasema live, sasa hivi hatuna siasa ya ujamaa, siasa ya ujamaa Tanzania hii ilikuwa ni ya nani zaidi ya Nyerere?

Nyerere na Familia yake hawakua Mafisadi na wala hakuogopa kumchukulia hatua Fisadi yeyote.Bado tunazidi kumkumbuka na kumlilia Baba yetu wa Taifa.
 
Singa singa anajua kula na mafisadi. Huko Kenya anakula na Moi na Tanzania anakula na Kikwete na familia yake.
Vipi bibie na wewe umeangushiwa masalia ya mezani nini?

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Ulitaka ataifishwe? hayo yalikuwa ya Nyerere na siasa zake za Ujamaa zilizoshindwa na watu kuachana nazo zamani sana, akaitia hii nchi kwenye lindi la dhiki na umasikini usio mfano.

Huko haturudi na hataifishwi mtu hapa. Labda aje punguani asiyejijuwa baada ya Kikwete.
 
Jibu hoja wacha kubwabwaja na kuhororoja:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Ulitaka ataifishwe? hayo yalikuwa ya Nyerere na siasa zake za Ujamaa zilizoshindwa na watu kuachana nazo zamani sana, akaitia hii nchi kwenye lindi la dhiki na umasikini usio mfano.

Huko haturudi na hataifishwi mtu hapa. Labda aje punguani asiyejijuwa baada ya Kikwete.

hyo singa singa ikulu yote ni w....a...k.... zake ! mpaka rais anashindwa toa maamuzi ..kuna nini hapo
 
Naam, Nyerere ana heshimika lakini siasa yake ya Ujamaa imekufa na haifatwi tena kwa hiyo hakuna kutaifishana.

Alipotaifisha hii nchi iliingia kwenye dhiki na umasikini wa hali ya juu, kabla ya kutaifisha kwake ilikuwa nchi ya kwanza katika Afrika inayosafirisha mazao ya shambani nje, baada ya kutaifisha tukawa omba omba hata wa chakula tukawa masikini wa mwisho duniani. Hilo kumbuka.

Au haukuwepo wakati wa utawaa wake na unasikia hadithi tu za kuhadithiwa? nakushauri kama ulikuwa haupo, AlhamduliLllah tungali hai tuliokuwepo, uliza kulikuwaje upate ukweli.

Kikwete pia anamheshimu sana Nyerere lakini juzi kasema live, sasa hivi hatuna siasa ya ujamaa, siasa ya ujamaa Tanzania hii ilikuwa ni ya nani zaidi ya Nyerere?
Katiba yenu inasemaje? Au Nyeusi = Nyeupe. Ama mkisema Nyekundu unamaaniasha Nyeusi.
 
quote_icon.png
By FaizaFoxy
Ulitaka ataifishwe? hayo yalikuwa ya Nyerere na siasa zake za Ujamaa zilizoshindwa na watu kuachana nazo zamani sana, akaitia hii nchi kwenye lindi la dhiki na umasikini usio mfano.

Huko haturudi na hataifishwi mtu hapa. Labda aje punguani asiyejijuwa baada ya Kikwete.
Bibie,
For your information ni serikali ya wajinga tu kama akina Kikwete ndiyo haitaifishi. Tunawaambia matapeli wa kimataifa njooni Tanzania mali zenu ziko salama hata kama mtatuzulumu hatutawataifisha. China inataifisha, India inataifisha, Uingereza inataifisha na mwaka juzi tu Marekani, gwiji wa mabepari, ilitaifisha viwanda vya General Motors uchumi ulipoanza kudidimia. Unalijua hilo? Ni mazuzu tu, akina Kikwete na Mkapa, yanayojisifia kuwa "siku hizi hatutaifishi. Njooni tu mchote shamba la bibi." Nyerere alikuwa conc.
 
Katiba yenu inasemaje? Au Nyeusi = Nyeupe. Ama mkisema Nyekundu unamaaniasha Nyeusi.

Katiba yenu sijuwi inasemaje. Mimi nasema Kikwete kasema hatutaifishi hatuko kwenye ujamaa hivi sasa.

Katiba imepitwa na wakati, sasa hivi kuna rasimu mpya amabayo karibuni itaenda kupigiwa kura. Upo hapo ulipo?
 
Bibie,
For your information ni serikali ya wajinga tu kama akina Kikwete ndiyo haitaifishi. Tunawaambia matapeli wa kimataifa njooni Tanzania mali zenu ziko salama hata kama mtatuzulumu hatutawataifisha. China inataifisha, India inataifisha, Uingereza inataifisha na mwaka juzi tu Marekani, gwiji wa mabepari, ilitaifisha viwanda vya General Motors uchumi ulipoanza kudidimia. Unalijua hilo? Ni mazuzu tu, akina Kikwete na Mkapa, yanayojisifia kuwa "siku hizi hatutaifishi. Njooni tu mchote shamba la bibi." Nyerere alikuwa conc.

Halafu huu mkataba wa iptl ni wa kijinga haujapata tokea serekali ina jukumu la kununua mafuta na kutengeneza mitambo wakati kwenye mauzo ya umeme hawarudishi gharama hizo. Alieandaa mkataba ndio huyo anaogopa kuchukua hatua hakika haki yetu ipo siku itarudi. Yaani hata mtoto mdogo hawezi kuingia mkataba wa kijinga kama huu ni sawa na kukodi teksi halafu ununue mafuta ya kukupeleka na gharama ya kukodi ukalipa full. Only in Tanzania mambo kama haya yanawezekana.
 
Katiba yenu sijuwi inasemaje. Mimi nasema Kikwete kasema hatutaifishi hatuko kwenye ujamaa hivi sasa.

Katiba imepitwa na wakati, sasa hivi kuna rasimu mpya amabayo karibuni itaenda kupigiwa kura. Upo hapo ulipo?
Acha kumtukana Kikwete ambaye kaapa kuilinda katiba ya Tanzania(1977).Sura ya kwanza kabisa tena kwa herufi kubwa inasema "JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ITAFUATA SIASA YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA."Katiba ndio inayotumika sasa na inaweza ikaendelea kutumika baada ya 2015 maana katiba inayopendekezwa inaweza isipitishwe na wananchi.
 
Heshima kwenu Wanajamvi !
Heri kwa sikuuu ya Xmas na Mwaka mpya 2015

Harbinder ameonesha ni namna gani alivyo mwananaume wa shoka,watu wenye dhamana wanaogopa kufanya maamuzi ya maana juu ya ESCROW kwa kwa kulinda maslahi ya Taifa, kisa ni huyu Singa na washarika walionufaika na Issue nzima ya IPTL/ESCROW.

Kwa namna ilivyo Harbinder Seith Singa ni mtu mwenye nguvu mpaka kiasi Dola inahofia,vyombo vyote ikiwepo Mahakama ,vimewekwa mfukoni na huyu mtu, watuhumiwa walio wengi wa hii Saga hii hawajaguswa.Kwa hoja hiyo huyu bwana anastahili kupokea pongezi,naam huyu ni mwanaume wa shoka,mpaka Serikali inamtetemeka ,na kuogopa hata kutekeleza maazimio ya Bunge!!!

Naam,Tanzania tu mambo haya yanawezekana,Ingekuwa China kwa issue kama hii tayari tungekuwa tunashuhudia misiba na maombolezo ya watu kunyongwa. Ila Tz kwa vile ipo kwenye AUTO PILOT mambo haya yanaonekana kama comedy ya akina JOTI na BAMBO.
Ningekuwa na muda wa kutosha ningetunga shairi la kumsifia Harbinder Seith Singa kwa namna anavyoichezea Serikali.

Congratulation Harbinder for keeping our government in your Pocket.But I wonder how great your pocket is? Enough to keep our government in your pocket ? Keep it up Harbinder.
Nawasilisha kwa kejeli,lakini moyoni naumia.

UKANA SHILUNGO,
Likizoni Masasi.
aksante mods kwa kubadili rangi!
 
Nchi imeuzwa na wendawa.zimu wachache ikulu.
 
Heshima kwenu wanajamvi !
Heri kwa sikuuu ya Xmas na Mwaka mpya 2015

Harbinder ameonesha ni namna gani alivyo mwananaume wa shoka,watu wenye dhamana wanaogopa kufanya maamuzi ya maana juu ya ESCROW kwa kwa kulinda maslahi ya Taifa, kisa ni huyu Singa na washarika walionufaika na Issue nzima ya IPTL/ESCROW.

Kwa namna ilivyo Harbinder Seith Singa ni mtu mwenye nguvu mpaka kiasi Dola inahofia,vyombo vyote ikiwepo Mahakama ,vimewekwa mfukoni na huyu mtu, watuhumiwa walio wengi wa hii Saga hii hawajaguswa.Kwa hoja hiyo huyu bwana anastahili kupokea pongezi,naam huyu ni mwanaume wa shoka,mpaka Serikali inamtetemeka ,na kuogopa hata kutekeleza maazimio ya Bunge!!!

Naam,Tanzania tu mambo haya yanawezekana,Ingekuwa China kwa issue kama hii tayari tungekuwa tunashuhudia misiba na maombolezo ya watu kunyongwa. Ila Tz kwa vile ipo kwenye AUTO PILOT mambo haya yanaonekana kama comedy ya akina JOTI na BAMBO.
Ningekuwa na muda wa kutosha ningetunga shairi la kumsifia Harbinder Seith Singa kwa namna anavyoichezea Serikali.

Congratulation Harbinder for keeping our government in your Pocket.But I wonder how great your pocket is? Enough to keep our government in your pocket ? Keep it up Harbinder.
Nawasilisha kwa kejeli moyoni naumia.
UKANA SHILUNGO,
Likizoni Masasi.
 
Heshima kwenu Wanajamvi !
Heri kwa sikuuu ya Xmas na Mwaka mpya 2015

Harbinder ameonesha ni namna gani alivyo mwananaume wa shoka,watu wenye dhamana wanaogopa kufanya maamuzi ya maana juu ya ESCROW kwa kwa kulinda maslahi ya Taifa, kisa ni huyu Singa na washarika walionufaika na Issue nzima ya IPTL/ESCROW.

Kwa namna ilivyo Harbinder Seith Singa ni mtu mwenye nguvu mpaka kiasi Dola inahofia,vyombo vyote ikiwepo Mahakama ,vimewekwa mfukoni na huyu mtu, watuhumiwa walio wengi wa hii Saga hii hawajaguswa.Kwa hoja hiyo huyu bwana anastahili kupokea pongezi,naam huyu ni mwanaume wa shoka,mpaka Serikali inamtetemeka ,na kuogopa hata kutekeleza maazimio ya Bunge!!!

Naam,Tanzania tu mambo haya yanawezekana,Ingekuwa China kwa issue kama hii tayari tungekuwa tunashuhudia misiba na maombolezo ya watu kunyongwa. Ila Tz kwa vile ipo kwenye AUTO PILOT mambo haya yanaonekana kama comedy ya akina JOTI na BAMBO.
Ningekuwa na muda wa kutosha ningetunga shairi la kumsifia Harbinder Seith Singa kwa namna anavyoichezea Serikali.

Congratulation Harbinder for keeping our government in your Pocket.But I wonder how great your pocket is? Enough to keep our government in your pocket ? Keep it up Harbinder.
Nawasilisha kwa kejeli,lakini moyoni naumia.

UKANA SHILUNGO,
Likizoni Masasi.

Uchochezi huu ulishashindwa wapo wengi Kama Mzee slaa lakini walikwama ije kuwa we we kids pa tu.
 
Jipange tena hutafanikiwa kwenye ujinga huu serikali IPO makini Sana.
 
Ulitaka ataifishwe? hayo yalikuwa ya Nyerere na siasa zake za Ujamaa zilizoshindwa na watu kuachana nazo zamani sana, akaitia hii nchi kwenye lindi la dhiki na umasikini usio mfano.

Huko haturudi na hataifishwi mtu hapa. Labda aje punguani asiyejijuwa baada ya Kikwete.

Mbona unapenda kujizalilisha wewe Mwanamke huoni aibu kushinda mitandaoni kuchangia pumba.ni haki ya kila member kuchangia hisia na kile anakiamini tatizo lako wewe unaharibu mijadala ya watu unajitoa tu ufahamu unatia aibu
 
Mbona unapenda kujizalilisha wewe Mwanamke huoni aibu kushinda mitandaoni kuchangia pumba.ni haki ya kila member kuchangia hisia na kile anakiamini tatizo lako wewe unaharibu mijadala ya watu unajitoa tu ufahamu unatia aibu

= kujidhalilisha

Yeye ana haki ya kuandika anachokiamini, mimi sina haki ya kukiandika nnachokiamini? Fikiri.

JF is where we dare to talk openly.
 
Back
Top Bottom