Singa Singa ameiweka serikali ya Kikwete mfukoni

Singa Singa ameiweka serikali ya Kikwete mfukoni

Hakika umeandika historia katika hili Taifa ambalo huko nyuma mabepari na hasa "Economic Hit Men" waliliogopa kama koma. Bravo kwa kucheza game na mihimili ya Taifa la Tanzania kama unavyopenda kwa kuwa 'mazingira' yanaruhusu. Juzi ulijaribu kutikisa bunge ukashindwa leo umeaua kutikisa Serikali yawezekana kwa kuwa umeitia mfukoni siku nyingi kwani wenye mamlaka wanashindwa kutekeleza maazimio ya bunge. Bravo for standing against the interest of 45 million Tanzanians. Nakuapia ningekuwa na uwezo ningekufanya zaidi ya 'Mgiriki' wa Nyerere. Nimekumbuka sana hadithi za Hayati Mwl. Nyerere. Let see how you bring down CCM.

:msela: :boxing:
 
Hakika umeandika historia katika hili Taifa ambalo huko nyuma mabepari na hasa "Economic Hit Men" waliliogopa kama koma. Bravo kwa kucheza game na mihimili ya Taifa la Tanzania kama unavyopenda kwa kuwa 'mazingira' yanaruhusu. Juzi ulijaribu kutikisa bunge ukashindwa leo umeaua kutikisa Serikali yawezekana kwa kuwa umeitia mfukoni siku nyingi kwani wenye mamlaka wanashindwa kutekeleza maazimio ya bunge. Bravo for standing against the interest of 45 million Tanzanians. Nakuapia ningekuwa na uwezo ningekufanya zaidi ya 'Mgiriki' wa Nyerere. Nimekumbuka sana hadithi za Hayati Mwl. Nyerere. Let see how you bring down CCM.

:msela: :boxing:

Zito aliwaambia ccm huyu singa singa ataingusha serikali ya ccm.naona yanaanza kutimia maneno aliyo nena zito
 
Wafadhili wamekata misaada yote,chama tawala kimekosa kura uchaguzi uliofanyika,mawaziri wanagoma kujiuzulu hongera Singa Singa
 
DHAIFU Kikwete amewekwa mifukoni na hawa wahuni wezi akina Ruge na mwenzie Harbinder sasa anashindwa kufurukuta. Deal la Kikwete kuchukua mgao toka kwa Ruge mama fisadi analijua kagoma kukubali shinikizo la kujiuzulu hadi kieleweke. Mama anadai kama mgao nawe umechukua tujiuzulu wote basi vinginevyo kujiuzulu wakati wewe unabaki haihusu kitu sijiuzulu ng'oo na ukinifukuza Ruge ataanika kila kitu hadharani.
 
JK na serikali yoooote iko mfukoni mwa singasinga kweli?
 
Kuna kiongoz 1 mahahali fulan alipogundua kuwa mfumo wake wa mahakama na sheria umeingikiwa na watu wenye fedha,

Alichofanya ni kutafiti hao matajr ambao walikuwa na nguvu ya pesa, akawaita kwa wito maalum kwa chakula cha jion kwenye ukumbi maalum,

Walipokuja akawambia maneno machache, nanukuu, .. nchi inayumba kwa ajir yanu hvyo inapaswa ninyi muondoke ili nchi iwe shwari, mkuu akawaamlu walioandaliwa wakawanyosha kwa mguu wa kuku,

Kilichofuata baada ya hapo mambo yakawa vzr, hyo iliwezekana kwa kuwa mkuu wa nchi alikuwa mwadilifu, ila kwa nchi kama yetu ni maamzi ya wananchi kuamua kukataa ufisadi kwa vitendo...

Tukisubir wawajbike hawawezi maana wanajuana kila mtu mwizi, sasa nan atamwajibisha mwizi mwenzake???? Inaumiza ila ndo ukwel wenyewe
 
DHAIFU Kikwete amewekwa mifukoni na hawa wahuni wezi akina Ruge na mwenzie Harbinder sasa anashindwa kufurukuta. Deal la Kikwete kuchukua mgao toka kwa Ruge mama fisadi analijua kagoma kukubali shinikizo la kujiuzulu hadi kieleweke. Mama anadai kama mgao nawe umechukua tujiuzulu wote basi vinginevyo kujiuzulu wakati wewe unabaki haihusu kitu sijiuzulu ng'oo na ukinifukuza Ruge ataanika kila kitu hadharani.

Ngoja tuone leo kama atafuata nyayo za Mwalimu Nyerere
 
Heshima kwenu Wanajamvi !
Heri kwa sikuuu ya Xmas na Mwaka mpya 2015

Harbinder ameonesha ni namna gani alivyo mwananaume wa shoka,watu wenye dhamana wanaogopa kufanya maamuzi ya maana juu ya ESCROW kwa kwa kulinda maslahi ya Taifa, kisa ni huyu Singa na washarika walionufaika na Issue nzima ya IPTL/ESCROW.

Kwa namna ilivyo Harbinder Seith Singa ni mtu mwenye nguvu mpaka kiasi Dola inahofia,vyombo vyote ikiwepo Mahakama ,vimewekwa mfukoni na huyu mtu, watuhumiwa walio wengi wa hii Saga hii hawajaguswa.Kwa hoja hiyo huyu bwana anastahili kupokea pongezi,naam huyu ni mwanaume wa shoka,mpaka Serikali inamtetemeka ,na kuogopa hata kutekeleza maazimio ya Bunge!!!

Naam,Tanzania tu mambo haya yanawezekana,Ingekuwa China kwa issue kama hii tayari tungekuwa tunashuhudia misiba na maombolezo ya watu kunyongwa. Ila Tz kwa vile ipo kwenye AUTO PILOT mambo haya yanaonekana kama comedy ya akina JOTI na BAMBO.
Ningekuwa na muda wa kutosha ningetunga shairi la kumsifia Harbinder Seith Singa kwa namna anavyoichezea Serikali.

Congratulation Harbinder for keeping our government in your Pocket.But I wonder how great your pocket is? Enough to keep our government in your pocket ? Keep it up Harbinder.
Nawasilisha kwa kejeli,lakini moyoni naumia.

UKANA SHILUNGO,
Likizoni Masasi.
 
Heshima kwenu Wanajamvi !
Heri kwa sikuuu ya Xmas na Mwaka mpya 2015

Harbinder ameonesha ni namna gani alivyo mwananaume wa shoka,watu wenye dhamana wanaogopa kufanya maamuzi ya maana juu ya
ESCROW kwa kwa kulinda maslahi ya Taifa, kisa ni huyu Singa na washarika walionufaika na Issue nzima ya IPTL/ESCROW.

Kwa namna ilivyo Harbinder Seith Singa ni mtu mwenye nguvu mpaka kiasi Dola inahofia,vyombo vyote ikiwepo Mahakama ,vimewekwa mfukoni na huyu mtu, watuhumiwa walio wengi wa hii Saga hii hawajaguswa.Kwa hoja hiyo huyu bwana anastahili kupokea pongezi,naam huyu ni mwanaume wa shoka,mpaka Serikali inamtetemeka ,na kuogopa hata kutekeleza maazimio ya Bunge!!!

Naam,Tanzania tu mambo haya yanawezekana,Ingekuwa China kwa issue kama hii tayari tungekuwa tunashuhudia misiba na maombolezo ya watu kunyongwa. Ila Tz kwa vile ipo kwenye
AUTO PILOT mambo haya yanaonekana kama comedy ya akina JOTI na BAMBO.
Ningekuwa na muda wa kutosha ningetunga shairi la kumsifia Harbinder Seith Singa kwa namna anavyoichezea Serikali.

Congratulation Harbinder for keeping our government in your Pocket.But I wonder how great your pocket is? Enough to keep our government in your pocket ? Keep it up Harbinder.
Nawasilisha kwa kejeli,lakini moyoni naumia.

UKANA SHILUNGO,
Likizoni Masasi.

singasinga mwenyewe huyu hapa

View attachment 214106
 
Ndugu, si useme kuwa Singasinga ni mwanaume kwa JK? Acha chengesachengesa bila sababu
 
Heshima kwenu Wanajamvi !
Heri kwa sikuuu ya Xmas na Mwaka mpya 2015

Harbinder ameonesha ni namna gani alivyo mwananaume wa shoka,watu wenye dhamana wanaogopa kufanya maamuzi ya maana juu ya
ESCROW kwa kwa kulinda maslahi ya Taifa, kisa ni huyu Singa na washarika walionufaika na Issue nzima ya IPTL/ESCROW.

Kwa namna ilivyo Harbinder Seith Singa ni mtu mwenye nguvu mpaka kiasi Dola inahofia,vyombo vyote ikiwepo Mahakama ,vimewekwa mfukoni na huyu mtu, watuhumiwa walio wengi wa hii Saga hii hawajaguswa.Kwa hoja hiyo huyu bwana anastahili kupokea pongezi,naam huyu ni mwanaume wa shoka,mpaka Serikali inamtetemeka ,na kuogopa hata kutekeleza maazimio ya Bunge!!!

Naam,Tanzania tu mambo haya yanawezekana,Ingekuwa China kwa issue kama hii tayari tungekuwa tunashuhudia misiba na maombolezo ya watu kunyongwa. Ila Tz kwa vile ipo kwenye
AUTO PILOT mambo haya yanaonekana kama comedy ya akina JOTI na BAMBO.
Ningekuwa na muda wa kutosha ningetunga shairi la kumsifia Harbinder Seith Singa kwa namna anavyoichezea Serikali.

Congratulation Harbinder for keeping our government in your Pocket.But I wonder how great your pocket is? Enough to keep our government in your pocket ? Keep it up Harbinder.
Nawasilisha kwa kejeli,lakini moyoni naumia.

UKANA SHILUNGO,
Likizoni Masasi.
Unamsifia mwanamume mwenzako kiasi hicho? Nadhani huwa anagonga manyema ndo maana umeamua kumtengenezea uzi
 
Ulitaka ataifishwe? hayo yalikuwa ya Nyerere na siasa zake za Ujamaa zilizoshindwa na watu kuachana nazo zamani sana, akaitia hii nchi kwenye lindi la dhiki na umasikini usio mfano.

Huko haturudi na hataifishwi mtu hapa. Labda aje punguani asiyejijuwa baada ya Kikwete.
 
Ulitaka ataifishwe? hayo yalikuwa ya Nyerere na siasa zake za Ujamaa zilizoshindwa na watu kuachana nazo zamani sana, akaitia hii nchi kwenye lindi la dhiki na umasikini usio mfano.

Huko haturudi na hataifishwi mtu hapa. Labda aje punguani asiyejijuwa baada ya Kikwete.
Singa singa anajua kula na mafisadi. Huko Kenya anakula na Moi na Tanzania anakula na Kikwete na familia yake.
Vipi bibie na wewe umeangushiwa masalia ya mezani nini?
 
Ulitaka ataifishwe? hayo yalikuwa ya Nyerere na siasa zake za Ujamaa zilizoshindwa na watu kuachana nazo zamani sana, akaitia hii nchi kwenye lindi la dhiki na umasikini usio mfano.

Huko haturudi na hataifishwi mtu hapa. Labda aje punguani asiyejijuwa baada ya Kikwete.

Nyerere(Baba wa taifa la Tanzania) na familia yake wanaheshimika kwa kuheshimu mali ya watanzania na kutocheka na Mafisadi pamoja na Ufisadi.
 
huyo singasinga kawala 0714 magamba wote..kuanzia kuanzia mkulu hadi magamba wa humu jf wote anawala tigo
 
Back
Top Bottom