Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,138
Duu
Ni kweli mkuu, vyombo vya dola vinafanya kazi mno, hao wanaokebehi hiyo ni katika kufanya siasa tu mkuu, lakini moyoni kabisa wanajua kuwa hawa ndugu wanafanya kazi. Kwa hili na mengine mengi, tuwapongeze mkuu.Duuuh nimeamini Jeshi la Polisi wanafanya kazi, wanao beza hili jeshi hawajapata matatizo
Wale ni policcm,na hakuna anayefuatilia ile kesiKumbe polisi wetu wapo vizuri hivi..kwenye ishu nyingine mbona kama kimya hivi,,kama ishu ile ya dodoma viunga vya bunge!!
Hili ni jambo kubwa sana ambalo waharifu wengi wanaingia mtegoni kirahisi sana. Simu! Wacha kutupa tu, hata watu wako wa karibu usijaribu kuwasiliana nao kwa namba mpya (hata kama umebadilisha both handset na line). Pona yako ni kuacha kabisa kutumia simu yoyote kufanya mawasiliano na yoyote. Nje ya hapo ukipata polisi wapelelezi smart lazima wakudakue tu.Ukitaka fanya uharifu, nunua line mpya fanya uharifu tupa simu na line..
Siku zote wauaji lazma wafanye kosa pahala....Ilikuwaje mpaka wakaanza kukamatwa...wapi walikosea?
Hamna plan yao ilikuwa Mbovu,ishu kama hiyo haitakiwa kuwa ya watu wengi wala kitumia simuu,the point to note,sishabikii mauajiHahahaa Daah No Comment, Hawa Watu WalijiPanga Hasa Chusa!
Polisi wabongo wakiwezeshwa wanaweza sana !!!!!!Hao polisi wa nchi gani? Kama ni tz hongera kwao
KABISA !!!!!!Siku zote wauaji lazma wafanye kosa pahala....
Ukiona hawajadakwa basi wapelelezi hawajakua makini killers always makes mistake somewhere...
Ha ha nimependa huu mstari.. Nazani wawashughulikie na wale wezi wa mitandaoKuepuka yote hayo ni kuwa raia mwema tu.
Nimependa sana ulipomalizia.Hili ni jambo kubwa sana ambalo waharifu wengi wanaingia mtegoni kirahisi sana. Simu! Wacha kutupa tu, hata watu wako wa karibu usijaribu kuwasiliana nao kwa namba mpya (hata kama umebadilisha both handset na line). Pona yako ni kuacha kabisa kutumia simu yoyote kufanya mawasiliano na yoyote. Nje ya hapo ukipata polisi wapelelezi smart lazima wakudakue tu.
Na waganga wa kienyeji wengi ni mashushu pia. Kuna mtu aliwahi kunambia hata wachungaji/mapadre ambao tunaweza kuwaamini tukaenda kuungama kwao (kwa namna yoyote ile) wengine ni mashushushu.
Kuepuka yote hayo ni kuwa raia mwema tu.
kwani hawaangaliagi series za kijasusi "" Jack Bauer" alikuwa akitumia simu anaitupa"" kabisaaaHili ni jambo kubwa sana ambalo waharifu wengi wanaingia mtegoni kirahisi sana. Simu! Wacha kutupa tu, hata watu wako wa karibu usijaribu kuwasiliana nao kwa namba mpya (hata kama umebadilisha both handset na line). Pona yako ni kuacha kabisa kutumia simu yoyote kufanya mawasiliano na yoyote. Nje ya hapo ukipata polisi wapelelezi smart lazima wakudakue tu.
Na waganga wa kienyeji wengi ni mashushu pia. Kuna mtu aliwahi kunambia hata wachungaji/mapadre ambao tunaweza kuwaamini tukaenda kuungama kwao (kwa namna yoyote ile) wengine ni mashushushu.
Kuepuka yote hayo ni kuwa raia mwema tu.
kwa haki iliyopatikana kwa mujibu wa sheria imepatikana lakini haki anayo MUNGU ni kazi kujua ukweli kwa kuwa hapa ni wanasheria wanashindana kwa vifungu na ushahidi.Dah! Kweli hii ni bonge la riwaya! But ni kweli haki imetendeka?