Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
Eti Sina Hela amekufa, mbona mimi namjua na ni ndugu yangu wa damu niko nae hapa?
Eti Sina Hela kapotea, jamani hajapotea nasema ninaishi nae karibu sana
Je wewe unamjua?
Eti Sina Hela kapotea, jamani hajapotea nasema ninaishi nae karibu sana
Je wewe unamjua?