Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
- Thread starter
- #41
Nipo mkubwa naona tunakimbizana na huyu mjamaa, ila hana taabu nimeshamuandalia handaki ya kumchimbia
naomba unionyeshe na mimi hilo handaki aisee
Nipo mkubwa naona tunakimbizana na huyu mjamaa, ila hana taabu nimeshamuandalia handaki ya kumchimbia
Nipo mkubwa naona tunakimbizana na huyu mjamaa, ila hana taabu nimeshamuandalia handaki ya kumchimbia
me simjui kabisa me nina mjuwa Mr Cash ambaye ninaye hapa,Mxndo rafiki yangu Sina Hela wewe haumjui kwani?
naomba unionyeshe na mimi hilo handaki aisee
pole,bora wewe ni leo tu!mimi tangu mwaka uanze ndo habanduki nyumbani kwangu
Usijali sweety nafanya kazi BOT funguo za store za hela mpya zinakaa ofisini kwangu,huyo sina hela utamsahau.jamani baby uko api?
Mimi huyu rafiki simtaki tena nifanyaje?
Mh kwani nimekusifia wewe?utakufa na kijiba cha roho.
Usijali sweety nafanya kazi BOT funguo za store za hela mpya zinakaa ofisini kwangu,huyo sina hela utamsahau.
me simjui kabisa me nina mjuwa Mr Cash ambaye ninaye hapa,Mx
SL hajakuambia bado si nilikuambiaga ule mgodi nataka kuuchukua jumlajumla hata Bishanga anajua
pole na wewe pia, nasikia nyumbani kwa lowassa hafiki huyu kiumbe?
ebo?mpoleee full kuni onga mwenzako,Mxmakubwaaa,ndo maana ukampata mpoleee
Usijali sweety nafanya kazi BOT funguo za store za hela mpya zinakaa ofisini kwangu,huyo sina hela utamsahau.
Mh kwani nimekusifia wewe?
Ila uporoto ana mapenzi ya kweli ee
ebo?mpoleee full kuni onga mwenzako,Mx
hahahahahahaha yupo shule sasa hivi,Mxndo maana haonekani huku kumbe umemfanya afulie
hahahahahahaha yupo shule sasa hivi,Mx
Sina hela kaanzisha kampuni, kajenga nyumba kanunua na magari. Sina hela ni tajiri mkubwa. Wifi mzima wewe?