Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Wana jf na ndugu zangu wa MMU .
Kwa kweli mpenzi wangu sijui anashida gani yani kajipa umuhimu kwenye mali zangu, kazi yangu na hata kufikia pabaya kabisa kajiwekea umuhimu kwenye hela zangu kabisa bila hata haya ya uso.
Ndugu inafika mahali nikimjibu sina hela analalamika na kudai ninazo ila sitaki azitumie huku akijilaumisha eti kwamba ninaye mwanamke mwingine atakaye tumia hela zangu wala siyo yeye labda na mchezea tuu
Wakuu huyu binti yani anajipa umuhimu sana kwenye hela zangu nakuona ni haki yake ni muhudumie ili hali yeye yupo huko kwao kwa wazazi wake, na kwa upande wapili nikimwambia aje tuishi wote niwe na mpa hela ya matumizi ananijibu muda bado. Sasa na mimi nimemwambia muda ukifika ataenjoy hela zangu ila anaona kama simjali na nina mtesa kihisia ni lawama tuu kila kukicha wakuu.
Hapa nawaza sijui ni mfanyaje huyu wakuu maana hapa sasa naona ananilazimisha kumpiga chini japo sina mpango huo kabisa na haiwezekani binti ni mpenzi tuu alafu ajipe umuhimu kwenye maisha yangu na hela zangu .
Mimi sitaki bhana.
Kwa kweli mpenzi wangu sijui anashida gani yani kajipa umuhimu kwenye mali zangu, kazi yangu na hata kufikia pabaya kabisa kajiwekea umuhimu kwenye hela zangu kabisa bila hata haya ya uso.
Ndugu inafika mahali nikimjibu sina hela analalamika na kudai ninazo ila sitaki azitumie huku akijilaumisha eti kwamba ninaye mwanamke mwingine atakaye tumia hela zangu wala siyo yeye labda na mchezea tuu
Wakuu huyu binti yani anajipa umuhimu sana kwenye hela zangu nakuona ni haki yake ni muhudumie ili hali yeye yupo huko kwao kwa wazazi wake, na kwa upande wapili nikimwambia aje tuishi wote niwe na mpa hela ya matumizi ananijibu muda bado. Sasa na mimi nimemwambia muda ukifika ataenjoy hela zangu ila anaona kama simjali na nina mtesa kihisia ni lawama tuu kila kukicha wakuu.
Hapa nawaza sijui ni mfanyaje huyu wakuu maana hapa sasa naona ananilazimisha kumpiga chini japo sina mpango huo kabisa na haiwezekani binti ni mpenzi tuu alafu ajipe umuhimu kwenye maisha yangu na hela zangu .
Mimi sitaki bhana.