Phlagiey
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,499
- 1,687
We Phlagiey unamuongezea mwenzio mawazo mweeeh!
Mwanzoni nilimwambia ni mgeni wa mapenzi nimasaidie cha kufanya akanibishia, kinamwambia tena wewe mwanamke akifika kileleni hauna uwezo wa kujua maana ni mgeni akanibishia,,basi nikaona isiwe shida nikamkusanyia maelezo yake yote ajionee kama ushahidi....
Last edited by a moderator: