heeeee jamaniii...54% of women have never had orgasm. Sasa kwa nini uumize akili yako, wakati wapo wasiokojoa!!! Kama unafanya homework yako, usiumize kichwa, wapo wanaoenjoy tu ila hawafiki....
Wengine wana stress zao, maradhi, na mambo mengine mengi.
heeeee jamaniii...
Nini tena 32Bits!!..
Teheeee mie nimesikitika jinsi ambavyo huwananilishi wengine eti kisa wapo kwenye ile 54 pasenti! Vibaya hivyo ujue lol
Bila shaka weekend inaenda murua ndugu zangu.
Nimekuwa na demu wangu nimpendae kwa mwaka mmoja sasa. Tatizo linalonikumba ni kuwa sikuwahi kumpa dozi hadi akafika kunakostahili (kukojoa), licha ya kujituma kwa kadili ya uwezo wangu. Na nimewahi kuwa na girl friend mmoja kabla ya huyu na nlikuwa namfikisha vizuri tu.
Kinachoniumiza ni kuwa napotaka kuongea nae kuhusu tufanyeje ili nae aweze kuwa anafika kule ananikwepa na kudai anarizika ivo ivo.
Sasa wenzangu mnalionaje hili, anaweza akawa anarizika ivo ivo kweli au ni mwizi na muongo tu kuna sehemu nyingine anakopata vitu vya maana vya kumridhisha?
Na naamin raha ya kufanya hii kitu ni pale unapojiridhisha kuwa mwenzako anafrahia kama wewe.
Naombeni mawazo yenu ndugu zangu.
Jaribu kucheza mchezo wa ku identify 10 places ambazo mwenzio anapenda. Anza wewe, mention wapi unapenda akuguse/ akufanyie nini then na yeye aseme, pengine atakuonyesha mahali ambapo yeye ndo panamfikisha. Wengine wanaona aibu kusema so maybe ukifanya like a game atakuonyesha
Bila shaka weekend inaenda murua ndugu zangu.
Nimekuwa na demu wangu nimpendae kwa mwaka mmoja sasa. Tatizo linalonikumba ni kuwa sikuwahi kumpa dozi hadi akafika kunakostahili (kukojoa), licha ya kujituma kwa kadili ya uwezo wangu. Na nimewahi kuwa na girl friend mmoja kabla ya huyu na nlikuwa namfikisha vizuri tu.
Kinachoniumiza ni kuwa napotaka kuongea nae kuhusu tufanyeje ili nae aweze kuwa anafika kule ananikwepa na kudai anarizika ivo ivo.
Sasa wenzangu mnalionaje hili, anaweza akawa anarizika ivo ivo kweli au ni mwizi na muongo tu kuna sehemu nyingine anakopata vitu vya maana vya kumridhisha?
Na naamin raha ya kufanya hii kitu ni pale unapojiridhisha kuwa mwenzako anafrahia kama wewe.
Naombeni mawazo yenu ndugu zangu.
Bora hata wewe umejitambua na kuthamini kuwa unataka na mwenzio umridhishe....Wengine hawatambui hilo wanamuacha tuu mwanamke yeye mwanaume akishafika ndio basi hamfikirii mwanamke...
Wanawake wengine wanaaibu ya kuongea kuhusiana na hilo kaka....cha msingi we siku moja mtayarishe ipasavyo....pia ile kitu inahitaji matayarisho mazuri bila matayarisho huwa wkt mwingine mwanamke hahisi starehe yeyote, anahisi unamchoma choma tuu.....Ukimtayarisha ipasavyo, na wakt wa kile kitu ukimdo ipasavyo na manjonjo ukiweka lazima atafika....
NB: Wanaume wengi hawafahamu namna ya kumtayarisha mwanamke...Kukiss hawajui, KUNYONYA ziwa hawajui wananyonya km mtoto...lile halitakiwi kunyonywa kwanguvu...una nyonya juu juu km unapapasa......pili mwingine akikushika kunako anakusugua utafikiri kuna ukurutu anatoa...kule hakutakiwi kusuguliwa unatakiwa kupapasa na kidole taratiibu....
NIISHIE HAPO
***********************************
Sawa fundiBaadhi ya wanaume waache kukurupuka ktk lile tendo...Chukua muda ktk kuchezeana ndipo umuingilie mwenzio...Utakuta mwanaume anachezea kidogo huyo asha ingiza ......... lake...sivyo hivyoooo..