Mkuu hiyo ni laana ya yule uliyemuacha bila sababu ya msingi. Unavuna ulichopanda!Bila shaka weekend inaenda murua ndugu zangu. Nimekuwa na demu wangu nimpendae kwa mwaka mmoja sasa. Tatizo linalonikumba ni kuwa sikuwahi kumpa dozi hadi akafika kunakostahili (kukojoa), licha ya kujituma kwa kadili ya uwezo wangu. Na nimewahi kuwa na girl friend mmoja kabla ya huyu na nlikuwa namfikisha vizuri tu. Kinachoniumiza ni kuwa napotaka kuongea nae kuhusu tufanyeje ili nae aweze kuwa anafika kule ananikwepa na kudai anarizika ivo ivo. Sasa wenzangu mnalionaje hili, anaweza akawa anarizika ivo ivo kweli au ni mwizi na muongo tu kuna sehemu nyingine anakopata vitu vya maana vya kumridhisha? Na naamin raha ya kufanya hii kitu ni pale unapojiridhisha kuwa mwenzako anafrahia kama wewe. Naombeni mawazo yenu ndugu zangu.
Sio kwamba nashindwa kujua kama nimemfikisha. Soma vizuri unielewe mkuu
hahahahah kwel weye baby boy...kwa hizi akili zakoMwambie awe anakunywa maji mengi atakojoa tuuuu
Hata ukibisha ni kweli kwani wewe kujua umemfikisha mwanamke kileleni mpaka akuambie si unajua mwenyewe kama umemfikisha alaaa...!!
Mbona unawasi wasi...Kama ni kweli unajua kwamba unamfikisha? Omba somo usione soo mficha maradhi kifo kitakuumbua...
Aiseee fani yangu hii nina MASTER ya ubunifu na PHD ya kukojoza wadada kama hawa, mkuu unahitaji mafunzo kwa vitendo..
Huyo lazima atakuwa nakuzuga tu kuondoa aibu ila kunakitu anakosa.
Hamna sababu ya kulazimisha kuongea naye............
zidisha ujuzi kila siku , ipo siku atayarusha tu,,,,,,,,,,,,, amini nikuambiayo.
Mimi mzima
Mbona hujaniambia siku zote kuwa una fani muhimu kiivi hadi PhD
Tunaogelea kwenye maji.Mi bado mdogo sijui hata mnaogelea nini.
Akifika najua vizuri kuwa nimemfikisha. Tatizo langu sio kujua kama nimemfikisha, ila nataka nijue kwanini hafiki na hataki kuwa wazi tuliongelee
Akifika najua vizuri kuwa nimemfikisha. Tatizo langu sio kujua kama nimemfikisha, ila nataka nijue kwanini hafiki na hataki kuwa wazi tuliongelee
Nimekuwa na demu wangu nimpendae kwa mwaka mmoja sasa. Tatizo linalonikumba ni kuwa sikuwahi kumpa dozi hadi akafika kunakostahili (kukojoa), licha ya kujituma kwa kadili ya uwezo wangu.
Ndo ivo maana mi nshafikiria nijiondoe kimya kimya
Ndiyo kama hivyo kunasiku nilikutumia Pm au hakuipata?