The same is clicking my mind. Kuna vitu ameandika vinavyoonesha asisadikike; Atoke atokako ghafla akute mtu kainamishwa bila mlango kufungwa? Ni mtumishi gani wa umma abadili ofisi ya umma kuwa danguro bila tahadhari yoyote? Mama mwenye watoto wawili unaandika sentensi kakasi kama hii? K yangu imekufa ganzi. Hii sentensi ni dhahiri imeandikwa na binti mdogo ambaye anadeploy soko la kifaa chake. Kwa kifupi alichokiandika mwenye thread hakina ukweli wowote.
Mhusika haelezi sekretari alipewa kipondo au la? Resonse ya sekretari baada ya kufumaniwa ilikuwaje? Utawala wa hiyo taasisi ulipata taarifa ya tukio hilo na hatua gani ilichukuliwa? Haiwezekani mtu afumaniwe halafu taarifa isitoke hasa wakati wa purukushani kati ya mke na sekretari.
cc: Nakshi
Natamani kila aliyeko kwenye ndoa angekuwa anakuja na exprience zote nzuri na mbaya, maana sasa kwa hizi mbaya zinazokuja kila siku zinasababisha baadhi ya watu waione ndoa kama jehanamu.
Tujifunze kutatua matatizo yetu bila kushirikisha watu mpaka itakaposhindikana kabisa, 80% watakushauri kwa sauti huku mioyoni wanafurahia kushindwa kwako.
Utashangaa thread zilizoko positive na ndoa haziattract watu wengi kama negatives. Wanandoa hatuna budi kutobadilika na kuacha kuwapa faida ya kutucheka.
Hiyo itamgharimu sana basi amuombe huyo mwizi a.k.a cheater aishi mbali nae kwa muda na itasaidia ila matunzo na mahitaji ya familia yawe pale pale tuu ili watoto wasinotice hizo tofauti zao
To be honest siwezi kulipiza kisasihuwez sahau hyo picha kamwe dada angu,..ila kinachoweza fanya usahau kamwe,is,nawewe tafta mtu ucheat hata miez sita make sure hajui,hyo itakujengea psychologicaly kua umelipiza kisas n afta that utaona mwenyew lile dukuduku lote lmeisha,..mbal na hapo haiwezekan kusahau,wasikudanganye hao,ukwel ndo huu,..TUWE HONEST JAMAN
Kwa avatar hiyo, sasa hivi utapata wa kukutia hamu ya 'ku-have sex:biggrin1:'
Ningekuwa na kampuni ningekuweka kitengo cha marketing, unaimudu sana hii kazi.
Hapa kuna some sort of 'strategic scenario with matangazo at work'. I too much read between the lines, hadi kuna saa najikuta na-read between the legs.
Shemeji hivi unadhani mwanaume rijali akisoma haya malalamiko, halafu jumlisha na hicho kipicha cha avatar ataijiwa na mawazo gani?
Mume wangu amekiri kosa na kesi haikuwa ndogo nami nilichukua muda kurudiana nae ila ki ukweli ni mume anayenijali mm pamoja na watoto amejitahidi kunirudisha kwenye mood yangu but mimi wapii
loh ubarikiwe kwa kuweza kusamehe kwa sababu mimi nisingeweza zaidi ningemfilisi tu...... sasa kam umeweza kusamehe omba Mungu akupe uwezo wa kusahahu ile picha....
dah!! kuna mambo ambayo magumu sana kushauri maana muhusika anajua kabisa anachokitaka.
To be honest siwezi kulipiza kisasi
Mmmmh.......ngoja kwanza.....
ok sorry,i did not mean it that way ,very sorry kwa usumbufu niliokusababishia kwa comment yangu,enjoy the thread!hapana madama hapasemi hivyo pengine haukupaelewa kwa usahihi,kapasome tena.
biblia inasema of course kwa kosa la usaliti/uzinzi ndoa yaweza kuvunjwa lakini bible inasisitiza ni sababu ya ugumu wa mioyo ya wato(kusamehe)na kuonesha jinsi ilivyotiliwa msisitizo mkishaachana hauruhusiwi kuolewa tena mpaka huyo mtalaka atakapofariki,[/QUOTE
Sasa unanipinga nini na wewe unasema nini? kwani me nimesema kwamba biblia imelazimsha watu kuachana kisa mtu kazini nje ya ndoa? nimesema biblia imeruhusu, sasa its up to u kama kuwa na moyo mwepesi na kusamehe na kuendelea au kutoka, na pia sijasema baada ya hapo uolewe tena, kwani hata mimi neno nalijua sana
Kampime ngoma aisee
Jamani mbona mnaishambulia sana Avatar yangu? Mbona ni ya kawaida sana