Hilo nakataa jamani mmmh, ntasamehe yote lakini lakunicheat au kunipiga ni NEVER
Nimeolewa na nina watoto 2, mimi ni muajiriwa na mume wangu pia muajiriwa serikalini, siku moja ilikuwa birthday ya mume wangu but alisahau ikabidi nimfanyie suprise kumpelekea zawadi ikiwemo keki ofisini kwake wakati wa lunch time, kufika ofisini kwake secretary wake sikumkuta ila nilihisi mume wangu yupo ofisini me moja kwa moja kufungua mlango kwa shangwe zote nikichokikuta humo ndicho kinachoniumiza mpk leo ,mume wangu amemuinamisha secretary wake wakihave sex,kesi ilikuwa kubwa but nikajitahidi kumsamehe ila tatizo sina hamu ya kufanya nae mapenzi tena bcoz ile picha iko ndani ya ubongo wangu yaani K yangu imekufa ganzi kabisaaa katika swala la sex ,nifanyeje jamani
hilo la kipigo kwakweli ni zito. ila kama kaamua kutumia kidudu chake kwa secretary haitonipa shida, cha msingi ni kwenda kupima magonjwa yote .... isijekuwa secretary kamuachia mpaka magonjwa ya kurithi. lol
Power iko moyoni, wala si kwa sex organs; na maumivu yapo huko huko kwa moyo. Ndio maana waweza sex na mtu usomfeel na hata ukisikia yuko na mtu mwingine usiumie. Lkn mtu ulompenda na uliyemuamini, it hurts more than death itself.
na kwa mtazamo wako unazani atakuwa na huyo secretary tu? once a cheater always a cheater, na ukishagundua tu kama huyo dada mwenye hiyo mada hutakuja kuwa na amani na huyo mwanaume for the rest of ur lives, kila akitoka akirudi mawazo yako yatakuwa pengine katoka kwa mwanamke, sasa ni maisha gani hayo? maradhi haya utaishi kwa wasiwasi pengine kesho atauleta au pengine kashauleta hata ukipima lakini as long as huna imani nae utakuwa na mawazo ya kuletewa magonjwa kila siku, sasa kuna haja ya kuwe kwenye hiyo ndoa kweli?
Ni ubinafsi tu..u-selfishila jamani sijui kuna power gani kwenye uc.hi na m.boo. yaani mtu akikucheat maumivu yake hatareeee.
Kwa avatar hiyo, sasa hivi utapata wa kukutia hamu ya 'ku-have sex:biggrin1:'
Ningekuwa na kampuni ningekuweka kitengo cha marketing, unaimudu sana hii kazi.
Hapa kuna some sort of 'strategic scenario with matangazo at work'. I too much read between the lines, hadi kuna saa najikuta na-read between the legs.
wala sijasema kama ni dogo ila tu haitoshi kuwa sababu ya kuvunja ndoa.
nimeshaelewa sasa kuwa wasiwasi ndio unaweza kusababisha ukimbie ndoa. yaani umeishi na mumeo zaidi ya hata miaka mitano leo uachie ndoa kirahisi kisa secretary????? tunatakiwa kuwaelewa hawa viumbe lasivyo tutakuwa watu wa kuruka majivu na kwenda kukanyaga moto.dah! nyumba kubwa hebu njo pande hizi basi.
mmnnnhhhh!! Inategemea kwa kweli. But once a cheater, always a cheater!
Kwa avatar hiyo, sasa hivi utapata wa kukutia hamu ya 'ku-have sex:biggrin1:'
Ningekuwa na kampuni ningekuweka kitengo cha marketing, unaimudu sana hii kazi.
Hapa kuna some sort of 'strategic scenario with matangazo at work'. I too much read between the lines, hadi kuna saa najikuta na-read between the legs.
Pole mamito najua kuifuta hiyo kichwani ni kazi sana lakini kama una lengo la kuendelea kuishinae ni vema uifute na uanze upya, lakini vipi alikiri kosa na kuomba msamaha? maana viumbe awa anaweza bado akakataa kosa japo umemfumania mwenyewe, vp huyo Secretary wake bado yupo? kama bado wapo wote hapo naomba huyo mume atafute uhamisho ahame hiyo office vinginevo najua ata wewe hautamani tena kukanyaga ofisini kwa mmeo kwa sababu ya tukio hilo, All in All kama hauna mpango wa kuishia naomba ufute kumbukumbu hii na mjali mumeo kabla huyo Secretary hajapangiwa upande magomeni
Kwa avatar hiyo, sasa hivi utapata wa kukutia hamu ya 'ku-have sex:biggrin1:'
Ningekuwa na kampuni ningekuweka kitengo cha marketing, unaimudu sana hii kazi.
Hapa kuna some sort of 'strategic scenario with matangazo at work'. I too much read between the lines, hadi kuna saa najikuta na-read between the legs.