Sina hamu na mume wangu


Kwangu inawezekana tena inawezekana, wambie wanaume wenzio waache uzinzi ndoa zidumu la sivyo ni kuachana tu ndio suluhishi
 
Acha ubishi mr wise anachoongea kina ukweli sana tu...ngoja ukae at least two yrs ndo utamkubali.
Kila la kheri...

Mbona mmenikalia kooni jaman kha kila mtu yuko huru kusimamia anapoona pana mfaa, nami ntasimamia hapo hapo nilipo
 
Last edited by a moderator:
Pole sana ndugu yangu... HAO NDIO WANAUME. Baadhi yao huwa hawatosheki kabisaaaa.. wana tamaa kama fisi na nyama.!
 
[/QUOTE]

Asante mpendwa wangu nazidi pata moyo sana
 
Last edited by a moderator:
Nimekumbuka kuna story kule anasema kapewa mimba akiwa form two akajifungua akarudi shule jamaa alimkimbia sahv kamaliza kapata kazi afu eti jamaa kaparalyze now sahv ndo anataka warudiane waoane

hahahaaaaaa kazi kweli kweli kumbe ...............,

ndio maana mtu mmoja page ya kwanza kabisa alisema
 
Kuna picha iko kweny mitandao ya kijamii


Bosi amemuinamisha sekretari
Huku anakula mzigo.

Ndo yeye nn??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…