Sina dalili ya upendo kabisa

Sina dalili ya upendo kabisa

Sijasema chenji, nimesema Hela.
Nweii una chenji kias gani?
Hizo hela za kuzitafuta kwa mateso na kuzifuga mwisho wa siku unakufa haujala hata robo mimi sizitaki ,mimi natafuta natumia, sina kiasi maalumu, naweza amka sina hata na Mia, nikitoka narudi na chochote ili mradi bima ya afya ninayo ya uhakika tu🤣🤣🤣🤣
 
Hizo hela za kuzitafuta kwa mateso na kuzifuga mwisho wa siku unakufa haujala hata robo mimi sizitaki ,mimi natafuta natumia, sina kiasi maalumu, naweza amka sina hata na Mia, nikitoka narudi na chochote ili mradi bima ya afya ninayo ya uhakika tu🤣🤣🤣🤣
MM huu ni uchoyo na ubinafsi, ko hata hutaki kutaja una chenji kias gani? Bas sawa, vipi leo hapo sahivi una chenji kias gani?
 
Natamani ningejua kidogo kuhusu wewe, then ninge confirm kile ninachojua kuhusu Watu wa Aina Yako.

Kuna watu ambao Mungu amewaumba hivyo Kwa sababu Maalumu, those who are the chosen one, wako hivyo sababu Wana kazi kubwa ya kufanya..
Hongezea maelekezo kidogo mkuu
 
MM uchoyo wa ki mwendokasi huu. Nimecheka hadi bas.
Nigawie jero bhana, 😂😂😂😂
Nafikiri mtoa mada alishanyetuka huwa mnyetukaji kupenda ni ngumu sana au wewe unaonanaje?
 
Inategemea! 😂😂😂😂
Hii experience ninayo ndio maana nimefikiri hivyo🤣🤣 sasa mtu through osmosis umeshalala na kina Mia Khalifa, jade fire na kina skin diamond una fikiri kina , khajida na mwaju wa buza atawapendaje?
 
Hii experience ninayo ndio maana nimefikiri hivyo🤣🤣 sasa mtu through osmosis umeshalala na kina Mia Khalifa, jade fire na kina skin diamond una fikiri kina , khajida na mwaju wa buza atawapendaje?
MM leo umelanduka Co poa, Woiiiiiih
😂😂😂😂😂😂
 
Habari Wana JF

Mimi nikijana wa miaka 28 nimuda Sasa najihisi kua sio binadam aliekamilika.

Nina changamoto yakukosa upendo wa kimahusiano na mwanamke, Yani naweza nikawa kwenye mahusiano lakin Ile Hali yakuhisi kumpenda mwenzangu sina kabisaa, nimejaribu Hadi kwa pisi Kali zilizonyooka lakini hamna kitu.

Sijawah kuhofia kupoteza mahusiano,Yani Mimi nikiwa namwanamke hata akiamua kuniacha naona sawa tuu sihofii chochote na hata moyo haushtuki.

Imefikia mahali nimeamua kuigiza kupenda lakin kunamdaa najisahau nakua don care,nimejitahd kunsikiliza nyimbo za mapenzi ilinipate hata kadilili lakini wapii nipo nipo tuu.

Kiufupi sielewi hata nashida Gani nataman skumoja nipendee ili nijue hata ladha ya upendoo sababu haya maisha yamenishinda

Naombeni ushauri jamani niondokane nahili tatizo
Punguza kupiga punyeto, mwishowe kitabakia kama pirton shauri yako
 
Habari Wana JF

Mimi nikijana wa miaka 28 nimuda Sasa najihisi kua sio binadam aliekamilika.

Nina changamoto yakukosa upendo wa kimahusiano na mwanamke, Yani naweza nikawa kwenye mahusiano lakin Ile Hali yakuhisi kumpenda mwenzangu sina kabisaa, nimejaribu Hadi kwa pisi Kali zilizonyooka lakini hamna kitu.

Sijawah kuhofia kupoteza mahusiano,Yani Mimi nikiwa namwanamke hata akiamua kuniacha naona sawa tuu sihofii chochote na hata moyo haushtuki.

Imefikia mahali nimeamua kuigiza kupenda lakin kunamdaa najisahau nakua don care,nimejitahd kunsikiliza nyimbo za mapenzi ilinipate hata kadilili lakini wapii nipo nipo tuu.

Kiufupi sielewi hata nashida Gani nataman skumoja nipendee ili nijue hata ladha ya upendoo sababu haya maisha yamenishinda

Naombeni ushauri jamani niondokane nahili tatizo
Aina hii ya wanaume wanapendwa sana na wanawake
 
Dogo, hela unatoa lakini, sababu waschsna wa 2000 hawahitaji kupendwa, we ksma unamspoil mtoto wa watu, hahitaji kupendwa
 
Back
Top Bottom