Sina dalili ya upendo kabisa

Sina dalili ya upendo kabisa

The same same kaka

Usjari tupo pamoja nadhani sisi ni moja kati ya design ya watu ambao furaha zetu sio ngono

Ni tofauti kidogo na wewe mimi napenda lakini baada ya muda naanza kushindwa kupractice love then nachoka kabisa kufake then naachaa mazima
Hii point nimeipenda sana , baadhi yetu haya mapenzi tunalazimisha tu
 
Hivi vitu vinakuja automatic jali yale uliyoyapa kipaumbele achana na mapenzi kwasasa kutokua/kuonekana na mpnz sasa haimaanishi wewe sio kamili utayakuta tu mbeleni
 
Gharama za juu kuanzia gani? Tuanzie hapo kwani.
Unakuta ana tuivpochi tukali kutoka Louis voitton au prada, anajipiga manukato kutoka chanel na mafuta ya bei chafu🤣🤣🤣
 
Unakuta ana tuivpochi tukali kutoka Louis voitton au prada, anajipiga manukato kutoka chanel na mafuta ya bei chafu🤣🤣🤣
Ila MM bhana, hujataja gharama ni kiasi gani, wee unataja vitu. Taja gharama kuanzia ni kias gani.
 
Ila MM bhana, hujataja gharama ni kiasi gani, wee unataja vitu. Taja gharama kuanzia ni kias gani.
Dollars 💸 2000 mpka 5000 kwa pochi moja tu, weka na manukato mpaka 10000
 
The same same kaka

Usjari tupo pamoja nadhani sisi ni moja kati ya design ya watu ambao furaha zetu sio ngono

Ni tofauti kidogo na wewe mimi napenda lakini baada ya muda naanza kushindwa kupractice love then nachoka kabisa kufake then naachaa mazima
Tofautisha mapenzi na ngono
 
Pisi kali za chuo zinazoshindia mihogo, ndo vijana wengi huziita pisi kali.

Nweii, kuna pisi kali na kuna pisi classic, msichanganye hivi vitu. 😂😂😂😂
Hizo ni pisi kali kwenye zone zetu mkuu, kwa uchumi huu vijana wanaomiliki pis classic bongo wanaweza wasifike wa tatu.
 
Watu wa humu waongo waongo Sana,kuna mmoja asubuh anasema mshahara wake Si haba halafu anaulizia wanapokopesha TV na Jiko😀😀😀😀😀
Kumbe huwa unakuwaga seriously na maneno yetu humu😜
 
Hizo ni pisi kali kwenye zone zetu mkuu, kwa uchumi huu vijana wanaomiliki pis classic bongo wanaweza wasifike wa tatu.
Pisi kali ni natural, ila Pisi classic ni artificial.
Ndo maana watu hawajui kutofautisha, mzuri na mrembo.

Pisi kali hata buza zipo, je hizo classic? Na kwa maelezo yako ya vitu ulivyotaja bas sio pisi kali, ni classic na huyo OP hata kumtongoza hawezi.

Watu mtafute hela, 😂😂😂😂
 
Natamani ningejua kidogo kuhusu wewe, then ninge confirm kile ninachojua kuhusu Watu wa Aina Yako.

Kuna watu ambao Mungu amewaumba hivyo Kwa sababu Maalumu, those who are the chosen one, wako hivyo sababu Wana kazi kubwa ya kufanya..
 
Back
Top Bottom