Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Na shida yako kubwa ni ujuaji mwingi niliwahi kukuambia na hapa umethibitisha ,tour guide wanakuelekeza we unaleta mambo yako...hii inaonyesha namna gani we ni mrongo sana...tangu lini mgeni agombane na mwenyeji? Acha ujuaji
Nimepanda huo mlima zaidi ya mara tano (5) wengi wa wanaobabuka ngozi zao zinakuwa zimeathirika kwa namna moja ama nyingine, mfano wanaojichuna ngozi n.k
.
KINAPA hawashauri mwendo wa haraka hapa ndipo tulipokuwa tunakosana nataka niende haraka nikitembe taratibu nitachoka, ilifikia wakati nikagombana na tour guides sijawahi kurudi tena.
.
Mwanamke atembee taratibu na kila Stopping center tupumzike huu ujinga ulinishinda, mara mia Mt Margarita Uganda fanya unachoweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zoezi letu lilianzia Lake Chala kwa kushuka kwa kamba toka juu hadi chini ziwani,kama una woga unaweza kugoma kushuka,unakalia sehemu ya kamba na nyingine unaishika kwa mikono miwili ukiwa umekanyaga mwamba na mwili umelala kwa nyuma ukiangalia chini unaliona ziwa likiwa mbali yaani ile kamba ikilatika unaelea hewani ukifika chini lilipo ziwa wee jina limeshabadilika kuwa marehemu. Baada ya kutoka Chala ndio tukaenda kupanda Mount Kilimanjaro kupitia Rongai route.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku nilienda hapi lake chala niliwaona wanajeshi wanafanya mazoezi hapo kwa kutumia kamba. Bila shaka wewe ni mjeda maana pale mwananchi wa kawaida sio rahisi kuruhusiwa kufanya hayo mazoezi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Big up Heaven on Earth 👊👊 Umetisha sana💪💪💪 For both THE JOURNAL and THE EXPEDITION .

Nilikuwa nimeshapanga next....(ohhh dang...next year ishafika😳😳)....yeahh so this year na mimi nataka nipande mlimani na Journal yako ni kama imenipa hamasa zaidi. I feel challenged and I won't let this year end before I climb Mt. Kili. And the best part is....mtu wakupanda nae yupo. He is done it before and he is always talking about doing it again...

So yeah....thanks for these wonderful tales 👏👏 Heaven on Earth It's truly inspiring, especially coming from a young miss like yourself.

PS...Nikishapanda I'll also share my experience.
 
Big up Heaven on Earth Umetisha sana For both THE JOURNAL and THE EXPEDITION .

Nilikuwa nimeshapanga next....(ohhh dang...next year ishafika)....yeahh so this year na mimi nataka nipande mlimani na Journal yako ni kama imenipa hamasa zaidi. I feel challenged and I won't let this year end before I climb Mt. Kili. And the best part is....mtu wakupanda nae yupo. He is done it before and he is always talking about doing it again...

So yeah....thanks for these wonderful tales Heaven on Earth It's truly inspiring, especially coming from a young miss like yourself.

PS...Nikishapanda I'll also share my experience.
Yaani wewe Mangi na hujawahi kupanda?!!
 
Big up Heaven on Earth Umetisha sana For both THE JOURNAL and THE EXPEDITION .

Nilikuwa nimeshapanga next....(ohhh dang...next year ishafika)....yeahh so this year na mimi nataka nipande mlimani na Journal yako ni kama imenipa hamasa zaidi. I feel challenged and I won't let this year end before I climb Mt. Kili. And the best part is....mtu wakupanda nae yupo. He is done it before and he is always talking about doing it again...

So yeah....thanks for these wonderful tales Heaven on Earth It's truly inspiring, especially coming from a young miss like yourself.

PS...Nikishapanda I'll also share my experience.
Unikumbukee...
By the way mwaka huu naenda mara mbili, June na September
 
Interesting.....
-Ningependa kujua kuna njia ngapi(Routes) za kufika Kilele cha mlima kilimanjaro?-(
Marangu
Rongai
Machame
Lemosho
Umbwe)

-Mwanzoni tulifundishwa Kibo na Mawenzi ndio vilele vya mlima kilimanjaro ila kwenye hii thread nimeona vilele zaidi ya 10 na kingine naambiwa Uhuru peak,Je Uhuru ndio Kibo au Mawenzi? Vilele vipo viwili mawenzi ambacho hakipandwi kina miamba nachani ndo caldera na Kibo...katika kibo ukipanda kuna vituo kwa njia ya marangu kuna stella point,gilmans point,then unafika juu kabisa uhuru peak

-Inachukua siku ngapi kwa kupanda hadi kufika kilele cha mlima k/njaro? Kwa Routes zote.(kuanzia siku5 hadi 7 kwenda na kurudi inategemea na ulipopandia)

-Tupeni faida/changamoto za routes zote za kufika kwenye peaks.kila route inachangamoto zake ukisoma mada humu watu wamejaribu elezea

-Gharama za kufika huko either personal au kutumia agents.(kuanzia laki5 hadi 1.5 inategemea idadi ya watu mliopo)

-Vitu gani vya kuzingatia ukitaka kwenda huko gears/facilities.(mountain boots,mountain clothers,head gear ,sungrasses mhm sana koz ukiiangalia barafu bila mawani unapata temporary blindness)

-Hali ya kiafya,je inatakiwa uwe katika situation gani ya kiafya ili usipate makandokando ya kufika peak,maana wamezungumzia afya general iwe nzuri,kwahiyo watu wenye HIV,pressure,kisukari etc hawewezi kuruhusiwa kwenda?Kikubwa usiwe na matatizo yoyote kwe mfumo wa kupumua...hata mtoto wa miaka 10 anapanda.mfano ni kama ukiwa unakimbia huku umefumba pua ile feeling ndo inakua mda wote kule juu
Wengine watazidi kujazilizia


READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
 
Big up Heaven on Earth Umetisha sana For both THE JOURNAL and THE EXPEDITION .

Nilikuwa nimeshapanga next....(ohhh dang...next year ishafika)....yeahh so this year na mimi nataka nipande mlimani na Journal yako ni kama imenipa hamasa zaidi. I feel challenged and I won't let this year end before I climb Mt. Kili. And the best part is....mtu wakupanda nae yupo. He is done it before and he is always talking about doing it again...

So yeah....thanks for these wonderful tales Heaven on Earth It's truly inspiring, especially coming from a young miss like yourself.

PS...Nikishapanda I'll also share my experience.
Nimempenda hata Mimi japo Mimi muoga wa baridi mnooooo!!naona kabisaa ntakavoishia mandara kwa kweli!!

Ila HOE amenifurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom