Simulizi ya kweli kuhusu Gamboshi

Simulizi ya kweli kuhusu Gamboshi

Std6 baada ya ajali akajikuta yuko hospitali basi akamuuliza nesi huko wapi Sheila na nesi machozi yakimlengalenga akajibu Sheila alikufa palepale.....

Yaani mtunzi huyu kiboko

Inaonekana Gambosh watoto wanapevuka mapema sana. No wonder maghorofa yao yanaonekana usiku tuu
 
Hapo kwenye darasa la sita kupiga gem ndio nimeachia hapo kabla hujapanga story ipitie Kwanza nafikir utakua umeiiga kwa zabron ila hujajipanga
 
Unajua mtume Muhammad S.A.W aliwahi kurogwa ?

Soma kile kitabu vizuri

Naam, hilo pekee linakuhakikishia kuwa Mtume Muhammad alikuwa ni binaadam.

Ma sha Allah, akashushiwa wahyi hapo hapo na akaponywa n wahyi huo ni tiba kubwa leo hii duniani, kwa wenye kuelewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom