jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Nimeishia hapo watoto wa darasa la sita wametongozana kesho yake binti kaja geto akiwa amejaindaa na wakapiga mechi. Au ilikuwa UPE?
Mkuu nimecheka.
Yaani uko darasa la sita una muita tu demu kesho anakuja ghetto halaf inaonekana ilikuwa kijijini unaish mwenyewe au.
Mkuu nilishukua Zaidi mpaka ajali inatokea, ni Zaidi ya gazeti la Mzalendo, niliishia hapo, waliomalizia wanaweza ku summarise.
Ukitaka kumficha mwafrika