Aah bana, hujasoma kisa vizuri. Modo ni mrefu na hana mwili mpana namna hiyo.
Kumbe ni Mali Kali.Huyo ni Binti Shushu wa BBH. Toto la Kitanga hilo.
mods wamedindishaa weee mwisho wakamwaga ,Mbn sioni chochote...mods washafanya Yao nini?
Dah mi nmechelewa nipe bas ata summary mkuumods wamedindishaa weee mwisho wakamwaga ,
Ndo kushtuka na kuanza kufuta kila kitu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Baada ya Ramadhani.Imekuaje tena??? Dah... Corazon Espinado
Hapana, sio mods. Ni mimi mwenyewe nimefuta posts.Mbn sioni chochote...mods washafanya Yao nini?
Kwann SasaHapana, sio mods. Ni mimi mwenyewe nimefuta posts.
Taleta kwa mtindo wa post moja kisa kimoja. Ni mengi sana.Kwann Sasa
Mkuu sioni chochote MimiTaleta kwa mtindo wa post moja kisa kimoja. Ni mengi sana.
Post za mwanzo hakunaTaleta kwa mtindo wa post moja kisa kimoja. Ni mengi sana.