marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,193
Oops,! The BookImeandikwa na Lello Mmassy
UTANGULIZI
Naitwa Joseph Kaduma Ndani Ya Serikali Ya Nchi Ya STANZA Watu Hupenda Kuniita Joe.Nina Nusu Saa Tu Ya Kuamua Kati Ya Maisha Yangu,Familia Yangu Na Utajiri Wangu Ama Uhai Wa Rais. Rais Anaeongoza Zaidi Ya Watu Milioni 70,Mwenye Ulinzi Zaidi Ya Ma Rais Wengi Hapa Duniani Leo Hatma Ya Maisha Yangu Ipo Mikononi Mwake Na Yake Mikononi Mwangu.
Nimwache Animalize Au Nimmalize Nibaki Salama?.Siwezi Kurudia Kosa Nililolitenda Hapo Kabla.Ni Ama Mimi Ama Rais.
Inaendelea..
**************************
Waadishi wa humu wana njaa sana tiyar shetani keshamdanganya
Sawa mkuu ni utani tuJifunze kuthamini kazi za watu wengine,pia jifunze kushukuru pale unapopewa bure jasho la mtu mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawakuombwa walete...Jifunze kuthamini kazi za watu wengine,pia jifunze kushukuru pale unapopewa bure jasho la mtu mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, hajakiachia bado