Simulizi: Soka Lilivyonikutanisha Na Shetani

Simulizi: Soka Lilivyonikutanisha Na Shetani

nimeimaliza leo aisee hii simulizi ukiwa na hasira unatukana kichwani mda wote unapoisoma...kazi nzuri
 
Sehemu ya 99

Wazazi kutotambua kipaji cha mtoto na kusimamia ndoto zake ipasavyo ni matokeo ya kuvurugikiwa maishani ni kama tu mtoto huyo ataamua kupuyanga peke yake kuzikimbilia ndoto zake. Soka la ushirikina lilinikutanisha na shetani, dunia yangu ya soka ikavurugika, maisha nayo yakanichapa. Hadi sasa ninaposimulia mkasa huu naishi kwa mateso kutokana na uchawi niliojihusisha nao maishani. ****

Nakushukuru kwa kuchukua muda wako kusoma mkasa huu wa kweli, ninapoweka kalamu chini naamini kuna mengi umejifunza kupitia simulizi hii ya kweli.

Mwisho..

Ahsante kwa muda wako.
Inafundisha sana moneytalk pita hapa mamaaa
 
Khaaa ..... kulikuwa na hadithi yenye mafunzo kama hii na hamsemi, watu mna siri sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom